BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Pengine ni vyema kuomba radhi kwa wale wote waliohusika na kuharisha mwaka 1999 pale pugu sec kutokana na kuniibia chakula changu ambacho nilitumia muda wangu kupika na samaki ..na baada ya kwenda na kurudi wah kadhaa wamenisaidia tena mbaya wamenibakizia ukoko tu wa wali
kwa kweli sikuwa na amani na kujiuliza zaidi nitawajuaje nikafululiza siku tatu napika wali wa nazi na samaki mnaojua wali na bdn vilivyo..baada ya siku ya tatu ya nne nikafanya ka party tukala bweni zima pale mapinduzi
baada ya kuumaliza siku inayofwata nikapika wali samaki na kuacha kwenda kukamua bila kujua wali ule nimechanganya na ile dawa ya kusafisha tumbo aka dulucolax....niliporudi nikaingia kitandani wakati niko kitandani nasikia mtu ananza kulalamika jamani leo ninaaharisha mbaya .. Waa chumba cha mbele akasema hivi ni chakula ha leo kinanini jamani??
Nilipotka nje nkakuta jamaa kadhaa wako nje karibu na choo wameinama kila mara wanaelekea chooni nidpo mmoja akashindwa imani akanifwata kuuliza hivi kwenye chakula chako umeweka nini
nikamjibu sijaweka kitu ni wewe umekula ,..akajibu nimeonja nikamwambia usiwe na wasi tafuta maziwa ya mtindi tu
ndipo nilipojua kumbe wabaya wangu walikuwa kwenye bweni la mapinduzi na si bweni lingine
kwa kweli sikuwa na amani na kujiuliza zaidi nitawajuaje nikafululiza siku tatu napika wali wa nazi na samaki mnaojua wali na bdn vilivyo..baada ya siku ya tatu ya nne nikafanya ka party tukala bweni zima pale mapinduzi
baada ya kuumaliza siku inayofwata nikapika wali samaki na kuacha kwenda kukamua bila kujua wali ule nimechanganya na ile dawa ya kusafisha tumbo aka dulucolax....niliporudi nikaingia kitandani wakati niko kitandani nasikia mtu ananza kulalamika jamani leo ninaaharisha mbaya .. Waa chumba cha mbele akasema hivi ni chakula ha leo kinanini jamani??
Nilipotka nje nkakuta jamaa kadhaa wako nje karibu na choo wameinama kila mara wanaelekea chooni nidpo mmoja akashindwa imani akanifwata kuuliza hivi kwenye chakula chako umeweka nini
nikamjibu sijaweka kitu ni wewe umekula ,..akajibu nimeonja nikamwambia usiwe na wasi tafuta maziwa ya mtindi tu
ndipo nilipojua kumbe wabaya wangu walikuwa kwenye bweni la mapinduzi na si bweni lingine