Wanafunzi wa boarding;kama mnapika mkirudi unakuta wamekusaidia wenzio-tumia dulucolax

Hahaha.....jaman...na zile sifa mlizokuwanazo mkiwaona wale mabinti was taasisi basi.na je angetokea MZEE mabagala cjui wangekimbilia wapi.
 
Hahaha.....jaman...na zile sifa mlizokuwanazo mkiwaona wale mabinti was taasisi basi.na je angetokea MZEE mabagala cjui wangekimbilia wapi.
\


nakwambia wale mabintiwa taasisi wamevumilia nyie nakumbuka walikuwa wakipigwa cha fasta kule pond wakitoka hapo lazima wakatafute argumentine na gentrosone ya kupaka sehemu usika wee waacheni tu stela wangu naamini amshaolewa huko aliko
 
oooh jamani mama pendo yupoooo mmmhhh

jamani pendoooo nimrmmsiiii dadaa huyuuu aliwafungisha waungwakama treni ya mwakyembe mwenye kujua alipo anipe namba yake jamani

basiasi umenikumbusa mbali sanaa sanaaa aiseeee nilikuwa siamini kama nitaacha kujikuna huko................................mmhhhh nsssmini wenzangu nao wamepona maana maji ya pugu kwi kwi kwi
Mamam pendo alishatangulia mbele ya haki mkuu.RIP mama yetu,nakumbuka half keki zake,wali wa maharage na mboga ya majani spinachi. pendo sijui yuko wapi
 
\


nakwambia wale mabintiwa taasisi wamevumilia nyie nakumbuka walikuwa wakipigwa cha fasta kule pond wakitoka hapo lazima wakatafute argumentine na gentrosone ya kupaka sehemu usika wee waacheni tu stela wangu naamini amshaolewa huko aliko
vijana mlikuwa hamna hata maana,mnamkumbuka Cheeks alitembea hadi na mama mjane muuza mihogo pale maabara ya Agriculture,walifumwa shambani kwenye minazi? wazee wa bagdad
 
dah pole sana matatizo kwako hayataisha kamwe kwan jina lenyewe tuu matatizo

Mimi sikupongezi kw hili tendo ulilofanya maana inavyoonekana ungeweza kupata hata sumu ya panya inaonekana ungeweza kuwawekea.Jitahidi kuwa raia mwema mwenye uvumilivu mkuu
 
Dah mkuu ww ninaoma sana hv ulishawahi fanya kazi laboratory
hivi yule mwl mweusi aliekuwa akipiga ovyo wanafunzi

mabagala yuko wapi jamani...na wasiwasi??loh hivi yule m pare alihamihia familia kaa ahami tena pugu aka secondmaster bado yupo

aaahaaaa jamani yule tall wetu mweusii na miwani yake mwl nani villeeeee nae yupo bado
daha alikuwa anakufwata huku ana chezesha mwili kama masogange
 
umenichekesha sana na mawazo yangu yote yamepotea.Mi naomba uje na stori nyingine kama ipo
 
hii kali sna ,,nikipakumbuka Pugu na hii story napata raha sna ,,nlikuwa na njaa sna lkn nimeshiba baada ya kuisoma hii story.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom