Mgonasipapune
Member
- Jan 10, 2011
- 63
- 14
Hahaha.....jaman...na zile sifa mlizokuwanazo mkiwaona wale mabinti was taasisi basi.na je angetokea MZEE mabagala cjui wangekimbilia wapi.
\Hahaha.....jaman...na zile sifa mlizokuwanazo mkiwaona wale mabinti was taasisi basi.na je angetokea MZEE mabagala cjui wangekimbilia wapi.
..asante mkuu...nimecheka sana...sijui kwa nini nakata tamaa ya maisha.....asante umenifurahisha
Mamam pendo alishatangulia mbele ya haki mkuu.RIP mama yetu,nakumbuka half keki zake,wali wa maharage na mboga ya majani spinachi. pendo sijui yuko wapioooh jamani mama pendo yupoooo mmmhhh
jamani pendoooo nimrmmsiiii dadaa huyuuu aliwafungisha waungwakama treni ya mwakyembe mwenye kujua alipo anipe namba yake jamani
basiasi umenikumbusa mbali sanaa sanaaa aiseeee nilikuwa siamini kama nitaacha kujikuna huko................................mmhhhh nsssmini wenzangu nao wamepona maana maji ya pugu kwi kwi kwi
vijana mlikuwa hamna hata maana,mnamkumbuka Cheeks alitembea hadi na mama mjane muuza mihogo pale maabara ya Agriculture,walifumwa shambani kwenye minazi? wazee wa bagdad\
nakwambia wale mabintiwa taasisi wamevumilia nyie nakumbuka walikuwa wakipigwa cha fasta kule pond wakitoka hapo lazima wakatafute argumentine na gentrosone ya kupaka sehemu usika wee waacheni tu stela wangu naamini amshaolewa huko aliko
dah pole sana matatizo kwako hayataisha kamwe kwan jina lenyewe tuu matatizo
hivi yule mwl mweusi aliekuwa akipiga ovyo wanafunziDah mkuu ww ninaoma sana hv ulishawahi fanya kazi laboratory