Wanafunzi vyuo vikuu waongezeka kwa 200%

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Idadi ya Wanafunzi katika vyuo vikuu imeongezeka kutoka 45,501 mwaka 2006/2007 hadi 139, 638 mwaka 2010/2011 sawa na ongezeko la asilimia 206 katika kipindi cha miaka mitano.


TUMEWEZA, TUMETHUBUTU TUNASONGA MBELE.

Mungu Ibariki Tanzania. Wote wanaobeza maendeleo yaliyofikiwa WASHINDWE NA WA WALEGEE KWA JINA LAKO BWANA.
 
Idadi ya Wanafunzi katika vyuo vikuu imeongezeka kutoka 45,501 mwaka 2006/2007 hadi 139, 638 mwaka 2010/2011 sawa na ongezeko la asilimia 206 katika kipindi cha miaka mitano.


TUMEWEZA, TUMETHUBUTU TUNASONGA MBELE.

Mungu Ibariki Tanzania. Wote wanaobeza maendeleo yaliyofikiwa WASHINDWE NA WA WALEGEE KWA JINA LAKO BWANA.

Tuangalie ubora wa elimu inayotolewa na sio idadi ya wahitimu. Kuna faida gani wa wahitimu kuwa mamilioni lakini kwenye suala job hiring hawa employers hapa nchini wengi wanapenda grads kwa waliosomea nje ya Tanzania sababu wanaelewa mapungufu ya elimu ya vyuo vikuu vyetu?
 
Ni wangapi kati ya hao wanapata ajira?
Utasema wajiajiri je mitaji ipo?
 
Idadi ya Wanafunzi katika vyuo vikuu imeongezeka kutoka 45,501 mwaka 2006/2007 hadi 139, 638 mwaka 2010/2011 sawa na ongezeko la asilimia 206 katika kipindi cha miaka mitano.


TUMEWEZA, TUMETHUBUTU TUNASONGA MBELE.

Mungu Ibariki Tanzania. Wote wanaobeza maendeleo yaliyofikiwa WASHINDWE NA WA WALEGEE KWA JINA LAKO BWANA.
nyie ndo mnaokimbia thread za arusha kwa kuweweseka mnaamua kujibalaguza kwa kutujazia uharo humu, mwaka huu hakuna rangi mtaacha ona lazima mvae bukta jezi
 
Idadi ya Wanafunzi katika vyuo vikuu imeongezeka kutoka 45,501 mwaka 2006/2007 hadi 139, 638 mwaka 2010/2011 sawa na ongezeko la asilimia 206 katika kipindi cha miaka mitano.


TUMEWEZA, TUMETHUBUTU TUNASONGA MBELE.

Mungu Ibariki Tanzania. Wote wanaobeza maendeleo yaliyofikiwa WASHINDWE NA WA WALEGEE KWA JINA LAKO BWANA.

Lakini walimu ni walewale, hawaongezeki na maslahi hayaongezeki!!! mwisho wa siku ni bilabila!!!
 
Tuangalie ubora wa elimu inayotolewa na sio idadi ya wahitimu. Kuna faida gani wa wahitimu kuwa mamilioni lakini kwenye suala job hiring hawa employers hapa nchini wengi wanapenda grads kwa waliosomea nje ya Tanzania sababu wanaelewa mapungufu ya elimu ya vyuo vikuu vyetu?

Hata huko pia kuna mapungufu!!!
 
Yani wanafunzi wa vyuo vikuu wanapata shida juu ya miundombinu ya vyuo vyao halafu wewe unaleta uzi wa kujipongeza? Wewe ni mtu au jini? Husikii vilio vya vijana wetu kuhusu uhaba wa hostels za chuo unaowalazimu kupanga vyumba vya watu binafsi na kusababisha gharama ya maisha kuwa kubwa?

Husikii malalamiko ya kujazana kwao katika darasa moja halafu mbaya zaidi vipaza sauti kuwa vibovu na kusababisha wanafunzi kulala mwanzo mpaka mwisho wa kipindi kwa uchovu wa kusikiliza makerere ya muhadhili?

Husikii wakilalamika juu ya ubabe wa hivyo vizee hapo chuo kuandaa mikakati madhubuti ya kupunguza idadi kubwa ya wanafunzi kwa kuwapa Discontinue? Tena hii ni kawaida sana kwa vyuo vinavyo chukua idadi kubwa ya wanafunzi.

Usiwe mvivu kufikiria kabla hujatoa uzi angalia unachokiwasilisha kina ukweli kiasi gani kuliko kufikia hitimisho la kujipongeza kwa mambo ya kipuuzi.
 
Back
Top Bottom