Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Idadi ya Wanafunzi katika vyuo vikuu imeongezeka kutoka 45,501 mwaka 2006/2007 hadi 139, 638 mwaka 2010/2011 sawa na ongezeko la asilimia 206 katika kipindi cha miaka mitano.
TUMEWEZA, TUMETHUBUTU TUNASONGA MBELE.
Mungu Ibariki Tanzania. Wote wanaobeza maendeleo yaliyofikiwa WASHINDWE NA WA WALEGEE KWA JINA LAKO BWANA.
TUMEWEZA, TUMETHUBUTU TUNASONGA MBELE.
Mungu Ibariki Tanzania. Wote wanaobeza maendeleo yaliyofikiwa WASHINDWE NA WA WALEGEE KWA JINA LAKO BWANA.