Wanafunzi UDOM warudishwa, udini na siasa vimezingatiwa?

Chief Lugina

JF-Expert Member
Jul 1, 2011
286
76
Leo limetoka tangazo la kuwataka kurudi chuoni wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) college of Informatics and Vitual Education.
Chuo hiki kilifungwa tar 28.04.2011 baada ya maandamano ya siku tatu mfululizo wakidai pesa yao ya SPECIAL FACULTY REQUIREMENTS ambazo kimsingi ni haki yao kwa mjibu wa mkataba kati ya mwanafunzi na Bodi ya mikopo. Lakini taarifa zilizopatikana kipindi cha Semina ya wakuu wa mikoa na wilaya kilichofanyika Dodoma walitaka warudi wana-CCM pekee na wana-CHADEMA waachwe, yalisemwa mengi na sasa baada ya miezi miwili wanafunzi wamerudisha na wanafunzi 56 hawajarudishwa. Kuhusu udini mara nyingi chuo hicho kimekuwa kikidaiwa kuwa kina upendeleo wa kidini kwa maana ya waislamu kupewa Priority zaidi wa wakristo, na mara nyingi uongozi wa chuo umekuwa ukikana madai hayo. Please kwa yeyote mwenye taarifa sahihi juu ya watu hao 56 kutorudi chuoni atuambie je ni sababu ya SIASA AU UDINI ndiyo umechukua hatamu!

waliofukuzwa ni: http://www.udom.ac.tz/DOCUMENTS/TAA...TE WA SHAHADA ZA AWALI - CIVE - 18.7.2011.pdf
Naomba kuwasilisha!!
 
Sidhani kama udini umetumika, kweli majina yaliyotangazwa mengi zaidi ya asilimia 90 ni ya wakristo, pia tambua kuwa asilimia zaidi 75 Tz ni wakristo sasa usitegemee kuwa sehemu kama vyuoni kutakuwa na watu wengi wa dini nyingine. Kisiasa naweza kukubali kidogo sababu imekuwa kasumba kwa viongozi wengi wa uma kujifanya wao ni wanamagamba, hiyo ipo hata kwenye vyombo vya dola, kwahiyo kama kulikuwa na kundi la wanafunzi lilionekana kuipinga serikali kwa kitendo chao cha kudhurumu hiyo pesa basi moja kwa moja wao watachukuliwa kuwa ni upinzani hasa CDM.
 
Nikiwa kama mmoja wa wanafunzi wa hapo Informatics, katika urudishwaji wa wanafunzi, ni ukweli kabisa udini haujazingatiwa bali kilichozingatiwa moja kwa moja ni itikadi za vyama. Wote walioondolewa ni wale ambao walikuwa viongozi wa chadema katika college. Inashangaza sana kuona Jina la Rais wetu wa Informatics Jafet Yesaya halipo wakati yeye ndiye aliyeweka msimamo kuwa tusiingie darasani! Ila chakushangaza hajawekwa kwenye list ya walio simamiishwa.Bila shaka hii ni kwasababu yeye ni kada wa chama cha mapinduzi(ccm).
 
Leo limetoka tangazo la kuwataka kurudi chuoni wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) college of Informatics and Vitual Education.Chuo hiki kilifungwa tar 28.04.2011 baada ya maandamano ya siku tatu mfululizo wakidai pesa yao ya SPECIAL FACULTY REQUIREMENTS ambazo kimsingi ni haki yao kwa mjibu wa mkataba kati ya mwanafunzi na Bodi ya mikopo. Lakini taarifa zilizopatikana kipindi cha Semina ya wakuu wa mikoa na wilaya kilichofanyika Dodoma walitaka warudi wana-CCM pekee na wana-CHADEMA waachwe, yalisemwa mengi na sasa baada ya miezi miwili wanafunzi wamerudisha na wanafunzi 56 hawajarudishwa. Kuhusu udini mara nyingi chuo hicho kimekuwa kikidaiwa kuwa kina upendeleo wa kidini kwa maana ya waislamu kupewa Priority zaidi wa wakristo, na mara nyingi uongozi wa chuo umekuwa ukikana madai hayo. Please kwa yeyote mwenye taarifa sahihi juu ya watu hao 56 kutorudi chuoni atuambie je ni sababu ya SIASA AU UDINI ndiyo umechukua hatamu! waliofukuzwa ni: http://www.udom.ac.tz/DOCUMENTS/TAA...TE WA SHAHADA ZA AWALI - CIVE - 18.7.2011.pdfNaomba kuwasilisha!!
hakuna udini Udom,wewe mwenyewe ndio mdini hata thread yako umeiandika kidini,acha kuigawa nchi kiudini st*pid!!!
 
Mimi siamini katika udini but nilitaka kujua kama huo udini uli-apply kwenye kurudisha watu.Maana sisi tulio mbali tunasikia chuo kina udini but kama hakuna udini God bless them!!!
 
Udini hakuna kabisa hapo,ukisema udini na waislamu wanapendelewa kama siamini vile,maana hata ukianzia ngazi ya sekondari waislamu hua ni asilimia kumi kushuka chini!yote inayobak ni dini zngne!!!sa 10% ya waislam af ipendelewe hyohyo tena c chuo kizima kinafukuzwa?
 
Back
Top Bottom