Chief Lugina
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 286
- 76
Leo limetoka tangazo la kuwataka kurudi chuoni wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) college of Informatics and Vitual Education.
Chuo hiki kilifungwa tar 28.04.2011 baada ya maandamano ya siku tatu mfululizo wakidai pesa yao ya SPECIAL FACULTY REQUIREMENTS ambazo kimsingi ni haki yao kwa mjibu wa mkataba kati ya mwanafunzi na Bodi ya mikopo. Lakini taarifa zilizopatikana kipindi cha Semina ya wakuu wa mikoa na wilaya kilichofanyika Dodoma walitaka warudi wana-CCM pekee na wana-CHADEMA waachwe, yalisemwa mengi na sasa baada ya miezi miwili wanafunzi wamerudisha na wanafunzi 56 hawajarudishwa. Kuhusu udini mara nyingi chuo hicho kimekuwa kikidaiwa kuwa kina upendeleo wa kidini kwa maana ya waislamu kupewa Priority zaidi wa wakristo, na mara nyingi uongozi wa chuo umekuwa ukikana madai hayo. Please kwa yeyote mwenye taarifa sahihi juu ya watu hao 56 kutorudi chuoni atuambie je ni sababu ya SIASA AU UDINI ndiyo umechukua hatamu!
waliofukuzwa ni: http://www.udom.ac.tz/DOCUMENTS/TAA...TE WA SHAHADA ZA AWALI - CIVE - 18.7.2011.pdf
Naomba kuwasilisha!!
Chuo hiki kilifungwa tar 28.04.2011 baada ya maandamano ya siku tatu mfululizo wakidai pesa yao ya SPECIAL FACULTY REQUIREMENTS ambazo kimsingi ni haki yao kwa mjibu wa mkataba kati ya mwanafunzi na Bodi ya mikopo. Lakini taarifa zilizopatikana kipindi cha Semina ya wakuu wa mikoa na wilaya kilichofanyika Dodoma walitaka warudi wana-CCM pekee na wana-CHADEMA waachwe, yalisemwa mengi na sasa baada ya miezi miwili wanafunzi wamerudisha na wanafunzi 56 hawajarudishwa. Kuhusu udini mara nyingi chuo hicho kimekuwa kikidaiwa kuwa kina upendeleo wa kidini kwa maana ya waislamu kupewa Priority zaidi wa wakristo, na mara nyingi uongozi wa chuo umekuwa ukikana madai hayo. Please kwa yeyote mwenye taarifa sahihi juu ya watu hao 56 kutorudi chuoni atuambie je ni sababu ya SIASA AU UDINI ndiyo umechukua hatamu!
waliofukuzwa ni: http://www.udom.ac.tz/DOCUMENTS/TAA...TE WA SHAHADA ZA AWALI - CIVE - 18.7.2011.pdf
Naomba kuwasilisha!!