wanafunzi kuweni makini na HLSSF

Ginner

JF-Expert Member
May 8, 2011
1,459
1,832
jamani kuweni makini na hii taasisi.
msikubali kutoa pesa zenu za form bila kuwatembelea hawa jamaa ofisini kwao kujidhihirishia wenyewe kuridhika na huduma wanayosema wanaitoa.
mimi binafsi sina imani nao na nnachokiona hapa ni kutumia panic ya wanafunzi wanaohaha kukosa mkopo ili kujipatia kipato. imagine 20000 x 1000 students ni kiasi gani wanakiingiza mfukoni,. then wanaingia mitini kama deci. ...wanasema wamepata usajili tangu 2008..jiulizeni walikuwa wapi siku zote...jamani kuweni makini nembo yenyewe tu ya kampuni inaonesha hawa watu hawako serious. iyo huduma kwa wateja ni ya ajabu.. me nahisi huu ni mradi wa watu .ndugu zangu wanafunzi lengo langu hapa sio kuwakatisha tamaa najua mnapitia katika hali gani ivi sasa baada ya kukosa mkopo..ila nawaomba tu kuweni makini kabla hamjachukua hatua
 
Sidhani,wangekua matapeli,wasingekua wanawapigia watu simu kuwaambia kuwa form zao za maombi zimepokelewa.ila tusiwaamin sana,maana wabongo hatuamiani!
 
Sidhani,wangekua matapeli,wasingekua wanawapigia watu simu kuwaambia kuwa form zao za maombi zimepokelewa.ila tusiwaamin sana,maana wabongo hatuamiani!

kupigiwa simu sio tatizo kwan ww unafkiri kupigiwa simu ndo uwaamini?
 
kupigiwa simu sio tatizo kwan ww unafkiri kupigiwa simu ndo uwaamini?

mkuu,co kwamba me nawatetea,ila kwa kiasi flani wanajitahd kuuzihrishia umma wa watanzania kuwa ni wakwel,wangekua ni matapeli wasingejisumbua hata kukujulisha kwamba form yako imefika,so kuwa na imani tu mkuu.
 
Mi naona kwa yule anaetak mkopo achukue namba yao ya usajir kisha awasiliane na wizara ya elimu kujua kama kweli imesajiliwa kwa namba tajwa.. From thr atajua la kufanya
 
aisee kwa kweli wadogo zetu jitahidnii kuwa makini tunajua mko kwenye kipindi kigumu hasa mliokosa mikopo .. ila hakikisheni mnapata taarifa za uhakika kuhusu hawa jamaa maana msije mkaingia mikataba ambayo mtaijutia ..
JITAHIDINI KUPATA HABARI ZA UHAKIKA MPUNGUZE UVIVU WAKUFUATILIA MAMBO ITAWAGHARIMU
regards
 
Sidhani,wangekua matapeli,wasingekua wanawapigia watu simu kuwaambia kuwa form zao za maombi zimepokelewa.ila tusiwaamin sana,maana wabongo hatuamiani!
Kaka angalia usije tapeliwa kirahisi. Hawa ni Matapeli tu. FULL STOP!!!
 
Sidhani,wangekua matapeli,wasingekua wanawapigia watu simu kuwaambia kuwa form zao za maombi zimepokelewa.ila tusiwaamin sana,maana wabongo hatuamiani!

mkuu kama umewaingizia 20000 kuna hatari gani wao kutoa mia tano kukupigia simu kukujulisha kuwa wameyapata maombi yako.. maombii wanayapokea ila na shaka juu ya uwezo wao wa kutoa izo pesa kwa wanafunzi bila interest
 
wote hatujui na hatuna uhakika nao kama ni matapeli au la, cha muhimu ni kingeangaliwa kama kweli kimesajiliwa kama NGO na serikal na namba yake halisi,
 
Hapa Jf kuna wanajamvi ni mashuhuri kwa uchunguzi wa mambo mbalimbali hebu wachunguzeni hawa jamaa ili wadogo zetu wawe na uhakika na maamuzi yao.
Pia serikali inatakiwa kusema chochote kuhusu hii taasisi sababu ni jambo nyeti na linawagusa vijana wengi wa Tanzania so kama wameipatia usajili na wamejiridhisha kuwa inaweza toa mikopo iungane nayo kuwapa wananchi taarifa sahihi na kuwa ni msaidizi wa mzigo wasiouweza heslb.
 
Sidhani,wangekua matapeli,wasingekua wanawapigia watu simu kuwaambia kuwa form zao za maombi zimepokelewa.ila tusiwaamin sana,maana wabongo hatuamiani!

swali la kujiuliza, wao wanapata wapi pesa? hao watakaowakopesha watazirudisha ipi pesa zao maana mpaka mkopaji alipe, ni pale atakapo pata kazi. na watamfuatilia vipi kuwa kapata kazi? Kama HESLB wanahaha kuwapata, sembuse hawa ambao hawana meno ya kufuatilia. Anyway, ni kufanya utafiti wa kutosha kabla ya kulipia ada ya fomu.
 
swali la kujiuliza, wao wanapata wapi pesa? hao watakaowakopesha watazirudisha ipi pesa zao maana mpaka mkopaji alipe, ni pale atakapo pata kazi. na watamfuatilia vipi kuwa kapata kazi? Kama HESLB wanahaha kuwapata, sembuse hawa ambao hawana meno ya kufuatilia. Anyway, ni kufanya utafiti wa kutosha kabla ya kulipia ada ya fomu.

mkuu,swala la wao wanapata wapi pesa me binafsi sijui.ila mnaweza kuwapgia kwenye 0765420512.
 
mkuu,swala la wao wanapata wapi pesa me binafsi sijui.ila mnaweza kuwapgia kwenye 0765420512.

Asante sana kwa namba. What I mean is, tujiridhishe kwa kiasi fulani kama hawa watu wana exist and they mean what they say. DECI was also registered, hivyo kuwa registered sio hoja hata kidogo. Nimejaza fomu zao, lakini najishauri sana kulipia.
 
pia wawe wawazi tu kama bodi ya mkopo inavofanya.. waseme budget yao iliyopangwa kwaajili ya kutoa mkopo ni kiasi gani. maana inawezekana kabisa mkopo wakawa wanatoa ndio ila budget yao ni million 5 au kumi. unakuta watakao nufaika na mkopo ni watu watano tu au kumi kati ya vijana 1000 walioomba, maana huwezi kuwabana kwamba kwavile umeomba mkopo toka kwao basi ni lazima maombi yako yatimie.

mfano.. mimi nina milioni 10 mfukoni. ntaenda kuomba uhalali serikalini kwa kujiandikisha kama mtu ntakae kuwa nawakopesha watu
baada ya hapo ntajitangaza kuwa kwa anae taka mkopo ajaze form na kunitumia kwa njia yoyote ile na gharama ya form ni 30000..
kwa vile nchi hii ni wengi wanataka mkopo hasa usio na riba kubwa kama ya kwenye mabenki basi ntapata maombi zaidi ya 10000.
kwa vile waombaji ni wengi kuliko budget yangu ntakacho fanya ni kuitoa ile budget niliyojipangia ya mil10 kama mkopo kwa watu wachache tu kama ushahidi lakini nikawa nimeingiza kiasi kikubwa mno cha pesa kwa waombaji wa mkopo.

ushauri wangu ni kwamba tusiziamini sana izi taasisi za watu binafsi kwenye haya maswala ya mikopo ya muda mrefu. wengi wao huwa wanatumia usanii usanii. kama mabenki makubwa tu yameshindwa kulifanya hili basi sitegemei NGO changa kama hii iweze kufanya mambo makubwa kama haya
 
pia wawe wawazi tu kama bodi ya mkopo inavofanya.. waseme budget yao iliyopangwa kwaajili ya kutoa mkopo ni kiasi gani. maana inawezekana kabisa mkopo wakawa wanatoa ndio ila budget yao ni million 5 au kumi. unakuta watakao nufaika na mkopo ni watu watano tu au kumi kati ya vijana 1000 walioomba, maana huwezi kuwabana kwamba kwavile umeomba mkopo toka kwao basi ni lazima maombi yako yatimie.

mfano.. mimi nina milioni 10 mfukoni. ntaenda kuomba uhalali serikalini kwa kujiandikisha kama mtu ntakae kuwa nawakopesha watu
baada ya hapo ntajitangaza kuwa kwa anae taka mkopo ajaze form na kunitumia kwa njia yoyote ile na gharama ya form ni 30000..
kwa vile nchi hii ni wengi wanataka mkopo hasa usio na riba kubwa kama ya kwenye mabenki basi ntapata maombi zaidi ya 10000.
kwa vile waombaji ni wengi kuliko budget yangu ntakacho fanya ni kuitoa ile budget niliyojipangia ya mil10 kama mkopo kwa watu wachache tu kama ushahidi lakini nikawa nimeingiza kiasi kikubwa mno cha pesa kwa waombaji wa mkopo.

ushauri wangu ni kwamba tusiziamini sana izi taasisi za watu binafsi kwenye haya maswala ya mikopo ya muda mrefu. wengi wao huwa wanatumia usanii usanii. kama mabenki makubwa tu yameshindwa kulifanya hili basi sitegemei NGO changa kama hii iweze kufanya mambo makubwa kama haya

kwenye web yao wamesema,wanafadhiliwa na makampuni ya simu kama tigo na voda,makampuni ya uchimbaji madini kama barick gold mine,bill and melinda gates foundation,ford foundation,us,uk,norway and sweden embassies in tanzania.but hakuna ajuaye kama ni kweli au c kweli kuwa wanafadhiliwa na hao watu.na pia nimeona kipengele flani wanasema wana 500million ambapo wanatarajia kukusanya $ 300,000 kutoka kwa hao donars wao ili waweze kugharamikia hao wanafunzi 1000.
 
mimi ni miongoni mwa waliokosa mikopo na nimefika ofisini kwao hao hlssf,lakini ninamashaka nao sana maana hata hiyo ofisi tu ni majanga pia maswali mengi niliyouliza kutuka kujua walinificha na kusema huna shida ya mkopo umekuja kupeleleza tu...........so kuweni makini sana
 
jamani kuweni makini na hii taasisi. msikubali kutoa pesa zenu za form bila kuwatembelea hawa jamaa ofisini kwao kujidhihirishia wenyewe kuridhika na huduma wanayosema wanaitoa.mimi binafsi sina imani nao na nnachokiona hapa ni kutumia panic ya wanafunzi wanaohaha kukosa mkopo ili kujipatia kipato. imagine 20000 x 1000 students ni kiasi gani wanakiingiza mfukoni,. then wanaingia mitini kama deci. ...wanasema wamepata usajili tangu 2008..jiulizeni walikuwa wapi siku zote...jamani kuweni makini nembo yenyewe tu ya kampuni inaonesha hawa watu hawako serious. iyo huduma kwa wateja ni ya ajabu.. me nahisi huu ni mradi wa watu .ndugu zangu wanafunzi lengo langu hapa sio kuwakatisha tamaa najua mnapitia katika hali gani ivi sasa baada ya kukosa mkopo..ila nawaomba tu kuweni makini kabla hamjachukua hatua
Hata mimi nlikosa mkopo bt nmeomba ushauri sn kwa wa2 wenye elimu zao bt nlichoambiwa ni kwamba hawa ni MATAPELI coz wanasema ktk fom zao utarudisha mkopo kulingana na VALUE ya ela kipindi icho je jiulize utarudisha kiasi gan wakati INFLATION inaongezeka kila kukicha so msikurupuke vionee huruma viwanja NA nyumba ya wazaz wako.
 
mkuu,co kwamba me nawatetea,ila kwa kiasi flani wanajitahd kuuzihrishia umma wa watanzania kuwa ni wakwel,wangekua ni matapeli wasingejisumbua hata kukujulisha kwamba form yako imefika,so kuwa na imani tu mkuu.

To win your trust they need to show that inclination
 
Mimi hawa jamaa nimewafuatilia sana kwa naman flan mashaka yanakuwepo na kwa namna nyingine mashaka yanakaa mbali nami lakini isiwe mwisho wasiku ofisi zao tunakuta ofisi ya mganga wa kinyeji maana wabongo kwa kusaka pes kilaini atujamboz
 
pia kingine nlipofka pale heslb nikamuulza m2 m1 akaniambia asikuambie m2 kuhusu hcho k2 kwa kweli wewe unadhani kuwa hawa serikali 2 wenyew wanambwela 2 ktk mikopo sembuse hao wa m2 binafsi mana hawa serikali ni zaid ya hyo ngo ila bado complain kibao mkopo ni serikali 2 ndo inaweza ku handle ingawa nayo ina madhaifu yk ila atleast hao mana wana take risk wa2 wng wanakufa wakimalza kusoma 2 wngne wanakuwa viwete wngne ajira no na mambo mng 2 xaxa unadhani hao ngo watakuwa poa 2 na ngangali kwa hayo yte mmmhh nkaishiwa pozi
 
Back
Top Bottom