Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,459
- 1,832
jamani kuweni makini na hii taasisi.
msikubali kutoa pesa zenu za form bila kuwatembelea hawa jamaa ofisini kwao kujidhihirishia wenyewe kuridhika na huduma wanayosema wanaitoa.
mimi binafsi sina imani nao na nnachokiona hapa ni kutumia panic ya wanafunzi wanaohaha kukosa mkopo ili kujipatia kipato. imagine 20000 x 1000 students ni kiasi gani wanakiingiza mfukoni,. then wanaingia mitini kama deci. ...wanasema wamepata usajili tangu 2008..jiulizeni walikuwa wapi siku zote...jamani kuweni makini nembo yenyewe tu ya kampuni inaonesha hawa watu hawako serious. iyo huduma kwa wateja ni ya ajabu.. me nahisi huu ni mradi wa watu .ndugu zangu wanafunzi lengo langu hapa sio kuwakatisha tamaa najua mnapitia katika hali gani ivi sasa baada ya kukosa mkopo..ila nawaomba tu kuweni makini kabla hamjachukua hatua
msikubali kutoa pesa zenu za form bila kuwatembelea hawa jamaa ofisini kwao kujidhihirishia wenyewe kuridhika na huduma wanayosema wanaitoa.
mimi binafsi sina imani nao na nnachokiona hapa ni kutumia panic ya wanafunzi wanaohaha kukosa mkopo ili kujipatia kipato. imagine 20000 x 1000 students ni kiasi gani wanakiingiza mfukoni,. then wanaingia mitini kama deci. ...wanasema wamepata usajili tangu 2008..jiulizeni walikuwa wapi siku zote...jamani kuweni makini nembo yenyewe tu ya kampuni inaonesha hawa watu hawako serious. iyo huduma kwa wateja ni ya ajabu.. me nahisi huu ni mradi wa watu .ndugu zangu wanafunzi lengo langu hapa sio kuwakatisha tamaa najua mnapitia katika hali gani ivi sasa baada ya kukosa mkopo..ila nawaomba tu kuweni makini kabla hamjachukua hatua