Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
Habari wadau..taarifa zisizo rasmi toka kwa wanafunzi wanaoendelea na cohort ya 7 ya Law School of Tanzania zinasema kwamba wanafunzi wenzao karibu 30 wameacha kuendelea na masomo kutokana na ukata unaowakabili..inasemekana ni mwezi wa 2 sasa tangu waanze masomo, na serikali bado haijawapatia pesa yoyote ya kujikimu....kama habari hizi ni za kweli,,,SWALI NI KWAMBA???
>>>JE, BILLION 7 ZILIZOKUSANYWA KWENYE HARAMBEE YA CCM HAZIWEZI KUELEKEZWA HUKO???????
>>>JE, BILLION 7 ZILIZOKUSANYWA KWENYE HARAMBEE YA CCM HAZIWEZI KUELEKEZWA HUKO???????