Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,607
- 93,401
Kwa wafuatiliaji wa mambo mtakumbuka Mchungaji anayeheshimika sana Marekani Jesse Jackson black Man akiwa kwenye mahojiano off Air akamponda Barrack Obama hawezi kuwa Rais, watu wakavujisha ile video clip.
Siku Barrack Obama anatangazwa mshindi Mchungaji Jesse Jackson alitokwa na machozi.
Sasa leo kuna watu watalia kabisa wakati Yanga inakabidhiwa kombe.
Mungu siyo Athumani na wala si Mwamedi.
Siku Barrack Obama anatangazwa mshindi Mchungaji Jesse Jackson alitokwa na machozi.
Sasa leo kuna watu watalia kabisa wakati Yanga inakabidhiwa kombe.
Mungu siyo Athumani na wala si Mwamedi.