Na hata umasikini utaendelea kutamalaki licha ya kuwa na rasmali tele hadi tujitambue kuweka watu wenye mawazo mapana sio hawa wachumia tumbo walio tuangusha kwa miaka yote leo wanajifanya malaikaUpinzani bado sana kwa hapa kwetu ndugu. Hawa tulionao ni wachumia tumbo tu na CCM itaendelea kuwepo sana. Mark my words. Upinzani si kutukana mkubwa wangu. Nakupa pole sana.