Wanachama wa JamiiForums waliotangulia mbele ya haki (Fariki) R.I.P

Hellow wakuu.
View attachment 1316733
Member kama mimi queenkami ambaye sijuani na yeyote wa JF nje ya JF ikitokea nikafariki hamtakaa mfahamu sababu sina mtu katika maisha yangu halisi anayejua kuwa mm ni member huku hivyo aje awajulishe kuwa queenkami is no more.

Hii imenifanya nifikirie kuwa labda baadhi ya wenzetu ambao tulikua nao humu siku zote kisha wakapotea moja kwa moja labda wameshatangulia mbele za haki.

Pamoja na kuwa wengine wanaweza kuwa wameamua kuwa wasomaji au kubadilisha ID lakini nina amini wapo wenzetu waliofariki bila sisi kufahamu.

Ni Chetuntu tu ndiye tuliweza kufahamishwa kuwa member mwenzetu hatunaye tena.Na dedicate wimbo huu kwa Chetuntu na wengine wote waliotutangulia.R.I.P.


UFUNUO 14:13 Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, andika, heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao, kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

kufa sio kubaya kama umetengeneza mambo yako na Mungu, kuishi ni Kristo na kufa ni faida. ila shida inakuja kama haujaokoka, unajua kabisa ukifa unaenda moja kwa moja motoni, hiyo ni hatari. Kila mmoja wetu atambue kuwa yampasa kuokoka ili akifa sawa na asipokufa sawa. Dunia ya leo imefika mwishoni kabisa, mojawapo ya ishara ni injili kuhubiriwa kila kona, yapasa injili ihuburiwe kwa kila mtu ili asiwepo mtu atakayesema sikusikia. zamani ilikuwa nguvu ila sasaivi hata nchi zinazozuia injili ya Yesu Kristo wameshafikiwa kwa njia ya mtandao. na ikisambaa dunia yote tu basi na Yesu anarudi. hivyo tuwe tayari aidha kufa katika Kristo au kumlaki mawinguni.
 
Habari zenu wakuu najua katika maisha ya Binadamu kuna mambo matatu ambayo kila mtu lazima ayapitie
1.Kuzaliwa
2.Kukuwa
3.Kufa

Leo naomba tuwaombee wapumzike kwa amani huko walipo kwa kuandika ID yake kisha neno RIP.
Naanza na Ndugu yetu Kipenzi mchangiaji mkuu
mr Guru R.I.P Mbele yako nyuma yetu mungu ailaze roho yako mahari pema pepon Amen
Ndoa umeisahau
 
Hellow wakuu.
View attachment 1316733
Member kama mimi queenkami ambaye sijuani na yeyote wa JF nje ya JF ikitokea nikafariki hamtakaa mfahamu sababu sina mtu katika maisha yangu halisi anayejua kuwa mm ni member huku hivyo aje awajulishe kuwa queenkami is no more.

Hii imenifanya nifikirie kuwa labda baadhi ya wenzetu ambao tulikua nao humu siku zote kisha wakapotea moja kwa moja labda wameshatangulia mbele za haki.

Pamoja na kuwa wengine wanaweza kuwa wameamua kuwa wasomaji au kubadilisha ID lakini nina amini wapo wenzetu waliofariki bila sisi kufahamu.

Ni Chetuntu tu ndiye tuliweza kufahamishwa kuwa member mwenzetu hatunaye tena.Na dedicate wimbo huu kwa Chetuntu na wengine wote waliotutangulia.R.I.P.


Mkuu
Bado unaishi?🤣
 
Mpenzi wa Islam ... Mwenzetu wa jukwaa la dini ... Is id yake ina RIP though alifariki kitambo zaidi ya miaka miwili now ... Mola ampuzishe mahala pema... Pamoja na chetuntu.
Ni miaka 12 toka nilipoombeleza na kipindi hiko alikuwa na zaidi ya miaka 2 .. jumla ni miaka karibu 14...May Allah make it easy for him ...
 
Back
Top Bottom