Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,249
Wanachama 3 wa cdm wamefungwa miaka 3 jela ktk mah ya mwanzo ya kijiji cha iyula wilayani mbozi.baada ya kuzuliwa kesi na mwenyekiti wa kijiji cha ichesa wilayani mbozi kuwa walitaka kumuua.kabla ya hapo mwenyekiti alikuwa ametangaza kuwa atahakikisha vyama vya upinzani havipati nafasi ya kujiimarisha ktk eneo lake.vijana hao walikamatwa waliopokuwa wanatangaza sera za chama chao ilikujaribu kukitwaa kiti cha udiwani wa kata ya ichesa pindi uchaguzi utakapoitishwa baada ya kifo cha diwani wa ccm. hivyo mwenyekiti kuingiwa na wasiwasi kuwa huenda kata hiyo isitwaliwe tena na ccm.viongozi wa wilaya cdm wamekata rufaa na itasikilizwa 20 07 2012 baada ya kutumikia kifungo cha mwezi 1.