WanaChadema wanaendesha kampeni katika mitandao ya WhatsApp Magufuli ashindwe tuzo ya FORBES 2016

kalulukalunde

JF-Expert Member
May 27, 2016
1,056
1,083
Wadau nimeshitushwa na kutahayari baada ya kupokea ujumbe wa whatsapp unaosambazwa kwa kasi katika magroup ya wana ukawa na chadema, wakihamasishana kupiga kura kwa wingi ili Rais John Pombe Magufuli ambaye amechaguliwa kuwa ni miongoni mwa wanaoshindania tuzo ya FOBES ya watu mashuhuri kwa mwaka 2016 Afrika.

Ujumbe huo unawataka wana ukawa na Chadema kumpigia kura mtu wa Rwanda ili Rais Magufuli asishinde tuzo hiyo, sehemu ya ujumbe huo inasema hivi “Tupige kura THE PEOPLE OF RWANDWA ili asishinde na tusigawe kura kuonesha kuwa kuminya DEMOKRASIA HAKUMPI MTU UMASHUHURI."

Katika ujumbe huo ambao wameambatanisha na link ya fobes ambayo ndio wanapoingia wapiga kura na kumchagua mshindi wa tuzo hiyo ya FOBES, wameweka maneno haya, ingia apo usimpigie kura Magufuli pigia peole of Rwandwa makamanda tujitahidi sana.



Maoni yangu

Kwanza nasikitika sana kwa chadema kufanya mambo ya hovyo hovyo kabisa kwa kuendekeza siasa na kuacha uzalendo, inaonekana hata ikitokea nchi tukaingia vitani na maadui wa Tanzania hawa jamaa watawaunga mkono maadui kwa kuendekeza siasa, ifikie hatua tusifanye siasa kama usimba na yanga yanapojitokeza mambo ya kitaifa kama hili hatuna budi kuungana jambo linapomalizika tuendelee na ushabiki wetu kisiasa. Binafsi hata kama simkubali Mbowe na Lowassa lakini kama wangekuwa nao washiriki katika Tuzo hiyo ningewachagua kwa kuwa tu ni Watanzania wenzangu na heshima kwa taifa pia.

Pili Hata kama hawataki lakini wanapaswa kujua kuwa Rais Magufuli ni maarufu hata kama asingeshindwanishwa katika tuzo hiyo, nafasi yake ya urais na harakati zake za kuondoa kero na zinazowakabiri watanzania vimemfanya awe maarufu kulikoi hiyo tuzo anayoshindanishwa, wanajisumbua tu kwa kuendesha kampeni ambazo haziwasaidii lolote katika siasa zao zaidi watanzania tutazidi kuwapuuza kwa ujinga na uhovyo wao.
 
Too late. Mpaka sasa Rais Magufuli anaongoza kwa asilimia 80. Sijui watafanyaje kuzima moto huu. Wanadhani kura zinapigwa Tanzania tu.
image.jpg
 
Yashakua ya diamond na kiba...
Kwanza mkuu hapendi mambo ya mitandao nway ni choice ya mtu kuchagua anachotaka
 
Wadau nimeshitushwa na kutahayari baada ya kupokea ujumbe wa whatsapp unaosambazwa kwa kasi katika magroup ya wana ukawa na chadema, wakihamasishana kupiga kura kwa wingi ili Rais John Pombe Magufuli ambaye amechaguliwa kuwa ni miongoni mwa wanaoshindania tuzo ya FOBES ya watu mashuhuri kwa mwaka 2016 Afrika.

Ujumbe huo unawataka wana ukawa na Chadema kumpigia kura mtu wa Rwanda ili Rais Magufuli asishinde tuzo hiyo, sehemu ya ujumbe huo inasema hivi “Tupige kura THE PEOPLE OF RWANDWA ili asishinde na tusigawe kura kuonesha kuwa kuminya DEMOKRASIA HAKUMPI MTU UMASHUHURI."

Katika ujumbe huo ambao wameambatanisha na link ya fobes ambayo ndio wanapoingia wapiga kura na kumchagua mshindi wa tuzo hiyo ya FOBES, wameweka maneno haya, ingia apo usimpigie kura Magufuli pigia peole of Rwandwa makamanda tujitahidi sana.



Maoni yangu

Kwanza nasikitika sana kwa chadema kufanya mambo ya hovyo hovyo kabisa kwa kuendekeza siasa na kuacha uzalendo, inaonekana hata ikitokea nchi tukaingia vitani na maadui wa Tanzania hawa jamaa watawaunga mkono maadui kwa kuendekeza siasa, ifikie hatua tusifanye siasa kama usimba na yanga yanapojitokeza mambo ya kitaifa kama hili hatuna budi kuungana jambo linapomalizika tuendelee na ushabiki wetu kisiasa. Binafsi hata kama simkubali Mbowe na Lowassa lakini kama wangekuwa nao washiriki katika Tuzo hiyo ningewachagua kwa kuwa tu ni Watanzania wenzangu na heshima kwa taifa pia.

Pili Hata kama hawataki lakini wanapaswa kujua kuwa Rais Magufuli ni maarufu hata kama asingeshindwanishwa katika tuzo hiyo, nafasi yake ya urais na harakati zake za kuondoa kero na zinazowakabiri watanzania vimemfanya awe maarufu kulikoi hiyo tuzo anayoshindanishwa, wanajisumbua tu kwa kuendesha kampeni ambazo haziwasaidii lolote katika siasa zao zaidi watanzania tutazidi kuwapuuza kwa ujinga na uhovyo wao.

UKAWA wapo sahihi. Mbona Magu kawapora U-meya wao .

Iyo ndo siasa. Magufuli akishindwa nayeye aende mahakamani.

Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.


Vote for people of Rwanda. Weka kando uzalendo
 
Wadau nimeshitushwa na kutahayari baada ya kupokea ujumbe wa whatsapp unaosambazwa kwa kasi katika magroup ya wana ukawa na chadema, wakihamasishana kupiga kura kwa wingi ili Rais John Pombe Magufuli ambaye amechaguliwa kuwa ni miongoni mwa wanaoshindania tuzo ya FOBES ya watu mashuhuri kwa mwaka 2016 Afrika.

Ujumbe huo unawataka wana ukawa na Chadema kumpigia kura mtu wa Rwanda ili Rais Magufuli asishinde tuzo hiyo, sehemu ya ujumbe huo inasema hivi “Tupige kura THE PEOPLE OF RWANDWA ili asishinde na tusigawe kura kuonesha kuwa kuminya DEMOKRASIA HAKUMPI MTU UMASHUHURI."

Katika ujumbe huo ambao wameambatanisha na link ya fobes ambayo ndio wanapoingia wapiga kura na kumchagua mshindi wa tuzo hiyo ya FOBES, wameweka maneno haya, ingia apo usimpigie kura Magufuli pigia peole of Rwandwa makamanda tujitahidi sana.



Maoni yangu

Kwanza nasikitika sana kwa chadema kufanya mambo ya hovyo hovyo kabisa kwa kuendekeza siasa na kuacha uzalendo, inaonekana hata ikitokea nchi tukaingia vitani na maadui wa Tanzania hawa jamaa watawaunga mkono maadui kwa kuendekeza siasa, ifikie hatua tusifanye siasa kama usimba na yanga yanapojitokeza mambo ya kitaifa kama hili hatuna budi kuungana jambo linapomalizika tuendelee na ushabiki wetu kisiasa. Binafsi hata kama simkubali Mbowe na Lowassa lakini kama wangekuwa nao washiriki katika Tuzo hiyo ningewachagua kwa kuwa tu ni Watanzania wenzangu na heshima kwa taifa pia.

Pili Hata kama hawataki lakini wanapaswa kujua kuwa Rais Magufuli ni maarufu hata kama asingeshindwanishwa katika tuzo hiyo, nafasi yake ya urais na harakati zake za kuondoa kero na zinazowakabiri watanzania vimemfanya awe maarufu kulikoi hiyo tuzo anayoshindanishwa, wanajisumbua tu kwa kuendesha kampeni ambazo haziwasaidii lolote katika siasa zao zaidi watanzania tutazidi kuwapuuza kwa ujinga na uhovyo wao.

Kama ni uzalendo, ungemwambia kwanza huyo dikteta uchwara auonyeshe mbele ya wananchi wote. Sio ubaguzi kama wa Idd Amin.
 
Hii nimeshangaa sana yaani wanaccm wanakua mstari wa mbele kumpinga mwenyekiti wetu kwa kukataa kupiga kura na kuamasisha watu wapigie kura watu wengine nje
 
Magufuli anaongoza kwa zaidi ya asilimia 80. Kadri mnavyowapigia madikteta wa Rwanda ndivyo mnavyompaisha Magufuli
Hata kama JpM akiongoza kwa kupigiwa kura hakumaanishi kama ndio atatangazwa mshindi, badala yake watazingatia na vigezo vingine zaidi ya kura.
 
Wataisoma mm tayar magufuli amepata asilimia yangu maana hata watanzania wenyewe washawajua ni jinsi gan wasivyojitambua wapeni pole yao . asilimia za ushind tayar kashachukua waje labda na jambo jingne lakn kwangu hawana nafasi.
 
Back
Top Bottom