Moja ya ahadi ya Mhe. Chege tulipomchagua alituahidi kuwa katika miaka yake mitano atahakikisha barabara hii inakamilika kwa asilimia mia moja. Ujenzi wa barabara ulianza mwaka 2005 na mpaka sasa umejengwa kwa kilomita 14 tu.
Maeneo mengine ya nchi hii kila kukicha barabara za lami zinakamilishwa kasoro barabara hii iliyochukua miaka 19 bila kukamilika. Hii ni dharau kubwa sana kwa wana Rorya.
Bora tumrudishe Ndugu Wenje kama kukosa tukose wote. Kila ukisimama Bungeni ni kusifia tu unasifia nini. Hakuna mtu anyetoa fedha mfukoni mwake kwa maendeleo ya nchi.
Fedha ni za umma na hata kama ni mkopo italipwa na Watanzania. Wana Rorya tumkatae Mhe. Chege kama barabara hii haitakamilika.
Maeneo mengine ya nchi hii kila kukicha barabara za lami zinakamilishwa kasoro barabara hii iliyochukua miaka 19 bila kukamilika. Hii ni dharau kubwa sana kwa wana Rorya.
Bora tumrudishe Ndugu Wenje kama kukosa tukose wote. Kila ukisimama Bungeni ni kusifia tu unasifia nini. Hakuna mtu anyetoa fedha mfukoni mwake kwa maendeleo ya nchi.
Fedha ni za umma na hata kama ni mkopo italipwa na Watanzania. Wana Rorya tumkatae Mhe. Chege kama barabara hii haitakamilika.