Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,608
- 5,269
Inatupasa wana JF wote kujumuika na kuweka tofauti zetu kando na kwenda kuishabikia Manchester united itakapokwaana na Stoke city katika dimba la old traford mida ya saa tano usiku kwa saa za Afrika ya mashariki! Mi ndo naanza kuelekea mida hii!