Niko kwenye mihangaiko ya kawaida nimemwomba mke wangu akacheki hali ya kituo tuliko pigia kura kama wamemaliza lakini cha ajabu amekuta kimefungwa na hakuna watu na alipo Uliza watu wa maeneo hayo wamedai wameondoka na kura kwenda kuzihesabia kwenye ofisi ya kata.
Hii kitaratibu imekaaje?
Toka .Jimbo la Kigamboni
Hii kitaratibu imekaaje?
Toka .Jimbo la Kigamboni