NCHABIRONDA
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 298
- 107
Jamani wana Jf naombeni msinishangae mi tangu jana niko kijijini. Huku kijijini kwe2 ni taabu tupu!! hata mawasiliano ya redio ni shida huku inasikika TBC TAIFA NA RFA tu . Kwa yeyote mwenye matokeo ya Simba naomba anijuze.