ecolizer baba
Member
- Sep 29, 2010
- 88
- 310
wakuu hamjambo?Za mishughuliko?
Nimesikia leo ni siku kubwa sana katika historia ya nchi yetu baada ya Mh. Rais kukubali marekebisho ya sheria ya mchakato wa katiba mpya aliyoisaini baada ya kupitishwa kwa mbwembwe , kejeli,madoido na matusi kibao toka kwa wabunge wa magamba a..k.a walilia posho lakini baada ya chama makini cha CHADEMA kumpa tuition amekubali kufanya marekebisho makubwa ambayo mwanzoni alikataa alipohutubia wazee wa magamba wa DSM.Ikumbukwe kuwa hata wazee wa kusinzia na kupiga meza mjengoni na wanaoitikia ndiyooooooooooooooooooo hata kama wametoka kuamka toka usingizini na kukuta jambo linaulizwa waliwatukana sana wabunge wa CDM waliotoka nje ya ukumbi kupinga kuburuzwa. Kwenye hili sakata CCM-B wakiongozwa na Hamad Rashid walibaki kuunga mkono wenzao wa CCM -A.
Sasa leo marekebisho yanawasilishwa bungeni baada ya JK kuwapiga biti wabunge wake waliotaka KUBOYCOT kupinga marekebisho hayo kisa wanaogopa Dr. Slaa na Baregu kuingia katika tume ya katiba. NAOMBA KWA WENYE TAARIFA WANISAIDIE KUJUA NI MUDA GANI MAREKEBISHO YATAWASILISHWA ILI NAMI NISOGEE KWENYE RUNINGA KWANI NIKO DARASANI KWA SASA.JE, NI ASUBUHI AU NI JIONI?
Naomba kuwasilisha
Nimesikia leo ni siku kubwa sana katika historia ya nchi yetu baada ya Mh. Rais kukubali marekebisho ya sheria ya mchakato wa katiba mpya aliyoisaini baada ya kupitishwa kwa mbwembwe , kejeli,madoido na matusi kibao toka kwa wabunge wa magamba a..k.a walilia posho lakini baada ya chama makini cha CHADEMA kumpa tuition amekubali kufanya marekebisho makubwa ambayo mwanzoni alikataa alipohutubia wazee wa magamba wa DSM.Ikumbukwe kuwa hata wazee wa kusinzia na kupiga meza mjengoni na wanaoitikia ndiyooooooooooooooooooo hata kama wametoka kuamka toka usingizini na kukuta jambo linaulizwa waliwatukana sana wabunge wa CDM waliotoka nje ya ukumbi kupinga kuburuzwa. Kwenye hili sakata CCM-B wakiongozwa na Hamad Rashid walibaki kuunga mkono wenzao wa CCM -A.
Sasa leo marekebisho yanawasilishwa bungeni baada ya JK kuwapiga biti wabunge wake waliotaka KUBOYCOT kupinga marekebisho hayo kisa wanaogopa Dr. Slaa na Baregu kuingia katika tume ya katiba. NAOMBA KWA WENYE TAARIFA WANISAIDIE KUJUA NI MUDA GANI MAREKEBISHO YATAWASILISHWA ILI NAMI NISOGEE KWENYE RUNINGA KWANI NIKO DARASANI KWA SASA.JE, NI ASUBUHI AU NI JIONI?
Naomba kuwasilisha