Wana JF naomba msaada katika hili pleeeeeeeeeease!!!!!!!

ecolizer baba

Member
Sep 29, 2010
88
310
wakuu hamjambo?Za mishughuliko?
Nimesikia leo ni siku kubwa sana katika historia ya nchi yetu baada ya Mh. Rais kukubali marekebisho ya sheria ya mchakato wa katiba mpya aliyoisaini baada ya kupitishwa kwa mbwembwe , kejeli,madoido na matusi kibao toka kwa wabunge wa magamba a..k.a walilia posho lakini baada ya chama makini cha CHADEMA kumpa tuition amekubali kufanya marekebisho makubwa ambayo mwanzoni alikataa alipohutubia wazee wa magamba wa DSM.Ikumbukwe kuwa hata wazee wa kusinzia na kupiga meza mjengoni na wanaoitikia ndiyooooooooooooooooooo hata kama wametoka kuamka toka usingizini na kukuta jambo linaulizwa waliwatukana sana wabunge wa CDM waliotoka nje ya ukumbi kupinga kuburuzwa. Kwenye hili sakata CCM-B wakiongozwa na Hamad Rashid walibaki kuunga mkono wenzao wa CCM -A.
Sasa leo marekebisho yanawasilishwa bungeni baada ya JK kuwapiga biti wabunge wake waliotaka KUBOYCOT kupinga marekebisho hayo kisa wanaogopa Dr. Slaa na Baregu kuingia katika tume ya katiba. NAOMBA KWA WENYE TAARIFA WANISAIDIE KUJUA NI MUDA GANI MAREKEBISHO YATAWASILISHWA ILI NAMI NISOGEE KWENYE RUNINGA KWANI NIKO DARASANI KWA SASA.JE, NI ASUBUHI AU NI JIONI?
Naomba kuwasilisha
 
wakuu hamjambo?Za mishughuliko?
Nimesikia leo ni siku kubwa sana katika historia ya nchi yetu baada ya Mh. Rais kukubali marekebisho ya sheria ya mchakato wa katiba mpya aliyoisaini baada ya kupitishwa kwa mbwembwe , kejeli,madoido na matusi kibao toka kwa wabunge wa magamba a..k.a walilia posho lakini baada ya chama makini cha CHADEMA kumpa tuition amekubali kufanya marekebisho makubwa ambayo mwanzoni alikataa alipohutubia wazee wa magamba wa DSM.Ikumbukwe kuwa hata wazee wa kusinzia na kupiga meza mjengoni na wanaoitikia ndiyooooooooooooooooooo hata kama wametoka kuamka toka usingizini na kukuta jambo linaulizwa waliwatukana sana wabunge wa CDM waliotoka nje ya ukumbi kupinga kuburuzwa. Kwenye hili sakata CCM-B wakiongozwa na Hamad Rashid walibaki kuunga mkono wenzao wa CCM -A.
Sasa leo marekebisho yanawasilishwa bungeni baada ya JK kuwapiga biti wabunge wake waliotaka KUBOYCOT kupinga marekebisho hayo kisa wanaogopa Dr. Slaa na Baregu kuingia katika tume ya katiba. NAOMBA KWA WENYE TAARIFA WANISAIDIE KUJUA NI MUDA GANI MAREKEBISHO YATAWASILISHWA ILI NAMI NISOGEE KWENYE RUNINGA KWANI NIKO DARASANI KWA SASA.JE, NI ASUBUHI AU NI JIONI?
Naomba kuwasilisha

Duh, mie nilidhani kitu cha maana kumbe ni hiki . Marekebisho hayo ni kiini macho mkuu, kwani katika mapendekezo yaliyotolewa na kada mbali mbali yanayokwenda kufanyiwa marekebisho hayazidi asilimia 5, sasa utasema hayo ni marekebishi kweli?. Mengi ya CDM yamepigwa chini na Rais ndio mteuzi wa mwisho wa tume na si mwingine, ww huoni huo ni usanii ?. CDM wamepigwa changa la macho

 
Marekebisho hayo ya sheria yatawasilishwa bungeni siku ya Ijumaa, baada ya kipindi cha maswali na majibu asubuhi.
 
kaka soma majibu utayapata hapahapa jamvini kabla hata ya hicho kikao chao. kwani hao wanaomshauri nao ni member humu JF.
 
Duh, mie nilidhani kitu cha maana kumbe ni hiki . Marekebisho hayo ni kiini macho mkuu, kwani katika mapendekezo yaliyotolewa na kada mbali mbali yanayokwenda kufanyiwa marekebisho hayazidi asilimia 5, sasa utasema hayo ni marekebishi kweli?. Mengi ya CDM yamepigwa chini na Rais ndio mteuzi wa mwisho wa tume na si mwingine, ww huoni huo ni usanii ?. CDM wamepigwa changa la macho

aah kumbe ni wewe?
nilitaka kukujibu ila nilipogundua ni mzee wa chimpumu acha nikupuuze.
 
Back
Top Bottom