Karibu esther!
kasPERSKY ANT-CCM hebu mfundishe dada Esther Wasira jinsi ya ku-quote anapokuwa anamjibu mtu ili tujue jibu limekwenda kwa nani. itamsaidia hata yeye kutokurudia kujibu mtu mmoja zaidi ya mara moja. ushauri tuKila jambo na wakati wake. Muda ulifika wa kujiunga. Watu wana maswali ambayo wangependa niyajibu, na niliona ni ushauri mzuri.
Kila jambo na wakati wake. Muda ulifika wa kujiunga. Watu wana maswali ambayo wangependa niyajibu, na niliona ni ushauri mzuri.
asante sana
Am here..
Kila jambo na wakati wake. Muda ulifika wa kujiunga. Watu wana maswali ambayo wangependa niyajibu, na niliona ni ushauri mzuri.
Ester Mambo? una maoni gani kwa Watanzania bara wanaonyanyaswa kule Zanzibar, je Chadema itaweza kumpeleka japo balozi ili wapate kimbilio? ndio hope iliobaki CHADEMA OR NOTHING. lete mkakati wapate hope. asante dada
Naona uko slow sana kujibu, ngoja ujifunze kwanza namna ya kuitumia JF maana huenda inakupa tabu kidogo. Lakini Pokea LIKE yangu ya kwanza kabisa tangu ujiunge JF kamanda
Ester mi sina cha kusema, naomba kuwatambulisha wafuatao kama vijana ''wachumia tumbo'' wa JF ambao uliwachana sana Nkurumah. Hawa wapo tayari tuiona Tanzania ikiangamia ila CCM ibaki
1. Riz
2.Zomba
3.Pasco
4.Nape
5.Mwigulu
6.n.k
no Pasco no huwezi kuwa siriaz,plz remove him from that listkumbe hata Pasco ni mchumia tumbo?asante kwa kunifungua
Ester kwanini ulijiunga chadema, ulivutiwa na, nini
Sasa chukuwa likizo twende tukafungue matawi Bundaaaaaaa! na tuweke mabalozi kila mtaaaa lakini si lazima Bunda we sema wapi unataka!
Mwanamke anaweza bila kuwezeshwa...