PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Kwa hesima na taadhima nawaomba wanajamvi tusichangie hili bandiko mpaka hapo atakapoanza yeye. Ameniahidi atakuwa hapa muda si mrefu, nawaomba tumpe ushirikiano wa kutosha , tuulize maswali yenye mantiki kwa muskakabali wa taifa letu, ni matumaini yangu mmenielewa karibu jembe,karibu dada yetu.