Wana CCM naomba mhalalishe picha hizi

nilichojaribu kusema ni kuwa
watu wachukulie kuwa afya zao ni muhimu
kuliko kununua khanga au hereni za dhahabu...
zipo dispensary nyingi za binafsi za bei nafuu.....

sio lazima kila mtu akasuburi huduma
ya bure mwananyamala au amana.

mimi binafsi nawajua wamama kadhaa ambao
wana uwezoa kwenda kwenye dispensary
za binafsi za bei nafuu,but wanaenda
hospitali za serikali kwa kila tatizo lao.

wapo kweli masikini wasio na uwezo
but sio wote,wengine ni mazoea ya
huduma za dezo.
Samahani kwa ku-qualify kauli yako kuhusu zahanati/hospitali za Binafsi nyingi kwanza majengo yake hayakujengwa kwa minaji ya kuwa vituo vya afya, hivyo hilo ni tatizo la kwanza, pili kutokana na uhaba wa mtaji wengi wao vifaa vyao sio standard or vye ubora unaotakikana , mfano wengi X-ray machine zao ni zile zilizokwisha tumika hivyo uwezo wake wa kutambua tatizo ni mdogo, vifaa vya kuchemshia sindano na nk ni vya kiwango hicho hicho cha chini , wauguzi walio ajiriwa kwenye dispensary za binafsi wengi ni wa kiwango cha chini nk nk.
Kuna watu wanaenda kwenye Hospitali za Binafsi kwenye Dr Bingwa/Mzuri lakini unakuta huduma nyingine ni tatizo.
 
Nakusikitikia sana,
Natamani nikujue ulipo ili nikusaidie. Inawezekana una shida.
Unahitaji kutubu maana maneno yako yatakufuata.
 
Jamani mimi ni mgeni humu JF niliambiwa na rafiki yangu nijiunge na JF kwasababu kuna watu wanatoa changamoto zenye mantiki, kama ndizo hizi eeehee nimechoka kabisa NO COMMENT.

acha unafiki na wewe....
nimefafanua hapo juu.
sasa ulichotakiwa ni kusoma ufafanuzi
uone ambacho hujakielewa,but wewe
ulichofanya ni kuendelea kujifanya
unashangaa.
shame on u.
 
nilichojaribu kusema ni kuwa
watu wachukulie kuwa afya zao ni muhimu
kuliko kununua khanga au hereni za dhahabu...
zipo dispensary nyingi za binafsi za bei nafuu.....

sio lazima kila mtu akasuburi huduma
ya bure mwananyamala au amana.

mimi binafsi nawajua wamama kadhaa ambao
wana uwezoa kwenda kwenye dispensary
za binafsi za bei nafuu,but wanaenda
hospitali za serikali kwa kila tatizo lao.

wapo kweli masikini wasio na uwezo
but sio wote,wengine ni mazoea ya
huduma za dezo.

Bado sijakuelewa, Au huenda wewe ni mmoja wa madaktari mnaotaka wateja waje kwenye hospitali zenu halafu mkishindwa mnawakimbiza Muhimbili. Hivi unajua kuwa Hospitali hizi za serikali ndiyo zina vifaa superior zaidi ya hizo binafsi na madaktari wenye uwezo mkubwa (wasiokuwa na ari) kuliko dispensari binafsi?.

Kinachokosekana kwenye Govt Hospitals ni uongozi bora na mipango thabiti ya kukabiliana na wimbi la wagonjwa. Ongeza wards, ongeza vitanda na si kujenga nyumba ya Gavana kwa bilioni plus kana kwamba hatujui kipaumbele kipo wapi!.

Kama serikali imetangaza huduma ni bure unatarajia wananchi wafanye nini? waje kwenye hospitali yako uwachaji laki sita kwa kuwazalisha kwa C-Section hata kama hawana matatizo ya kuzalishwa kwa c-section ili mradi wewe uongeze charge au waende sehemu wanayojua gharama nafuu. Hebu waache mama zetu usiwanyanyase kwa ajili ya tamaa zako.

Tatizo hapa ni watunga sera hawana uwezo wa kuyaona haya nao wanaliona katika mtazamo kama wako wewe.
 
Bado sijakuelewa, Au huenda wewe ni mmoja wa madaktari mnaotaka wateja waje kwenye hospitali zenu halafu mkishindwa mnawakimbiza Muhimbili. Hivi unajua kuwa Hospitali hizi za serikali ndiyo zina vifaa superior zaidi ya hizo binafsi na madaktari wenye uwezo mkubwa (wasiokuwa na ari) kuliko dispensari binafsi?.

Kinachokosekana kwenye Govt Hospitals ni uongozi bora na mipango thabiti ya kukabiliana na wimbi la wagonjwa. Ongeza wards, ongeza vitanda na si kujenga nyumba ya Gavana kwa bilioni plus kana kwamba hatujui kipaumbele kipo wapi!.

Kama serikali imetangaza huduma ni bure unatarajia wananchi wafanye nini? waje kwenye hospitali yako uwachaji laki sita kwa kuwazalisha kwa C-Section hata kama hawana matatizo ya kuzalishwa kwa c-section ili mradi wewe uongeze charge au waende sehemu wanayojua gharama nafuu. Hebu waache mama zetu usiwanyanyase kwa ajili ya tamaa zako.

Tatizo hapa ni watunga sera hawana uwezo wa kuyaona haya nao wanaliona katika mtazamo kama wako wewe.


kwa hiyo unachosema wewe ni kuwa
hata kama mtu ana uwezo wa pesa,
aende hospitali za serikali kwa sababu
ndipo huduma bora ilipo sio???????
 
nilichojaribu kusema ni kuwa
watu wachukulie kuwa afya zao ni muhimu
kuliko kununua khanga au hereni za dhahabu...
zipo dispensary nyingi za binafsi za bei nafuu.....

sio lazima kila mtu akasuburi huduma
ya bure mwananyamala au amana.

mimi binafsi nawajua wamama kadhaa ambao
wana uwezoa kwenda kwenye dispensary
za binafsi za bei nafuu,but wanaenda
hospitali za serikali kwa kila tatizo lao.

wapo kweli masikini wasio na uwezo
but sio wote,wengine ni mazoea ya
huduma za dezo.



Boss siamini km umekuwa misquoted maana post yako ipo wazi saana na kupanua miguu je???
Kwenye hospitali binafsi napo kuna matatizo yake. Kumekuwepo na madai wengi wa huko wanataka wawafanyie kina mama opereshen ambazo huwa ni ghali na wakati fulani hata hazihitajiki.
Nadhani kilio kiwe kuboresha hizi hospitali maana hali ya Watanzania waliowengi ni mbaya saana.
Km hujawa na experience juu ya maisha ya watu wengi, jipe muda nenda katembee Tandale, tandika ndani ndani na sehem nyingine. Sikwambii vijijini ndio pako vipi.
Kwenye hospitali ukienda ndioutajua uhalisia wa maisha ya Watanzania. Imefika wakati nasi Watanzania tushiriki kuokoa hawa ndugu zetu
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????

Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

Nina wasiwasi aliyekuloga wewe alishakufa. Milembe umetoka lini? Watu wengine bwana, yaani mnakera kwelikweli. Mamako alihongwa nini hadi akakuzaa wewe?
Yaani wewe inaonekana hata ngumbalo hukwenda. Hivi uwezo wa mtu unaweza kufanya lipi katika hali hiyo? Huyo mwenye uwezo ajizalishe? Unataka kusema huyo hahitaji daktari? Au kama ana uwezo alete kitanda chake hospitali? Na hiyo hela inayolipwa kwa ajili ya huduma anakula nani? Wewe habari ya kwenda kwa waganga wa kienyeji inaingiaje kwenye hilo? Lakini hatuwashangai nyie CCM, akili ni ileile tu kama Makamba vile. Mnapwayukapwayuka tu. Ushaharibu mood yangu leo.
 
Nina wasiwasi aliyekuloga wewe alishakufa. Milembe umetoka lini? Watu wengine bwana, yaani mnakera kwelikweli. Mamako alihongwa nini hadi akakuzaa wewe?
Yaani wewe inaonekana hata ngumbalo hukwenda. Hivi uwezo wa mtu unaweza kufanya lipi katika hali hiyo? Huyo mwenye uwezo ajizalishe? Unataka kusema huyo hahitaji daktari? Au kama ana uwezo alete kitanda chake hospitali? Na hiyo hela inayolipwa kwa ajili ya huduma anakula nani? Wewe habari ya kwenda kwa waganga wa kienyeji inaingiaje kwenye hilo? Lakini hatuwashangai nyie CCM, akili ni ileile tu kama Makamba vile. Mnapwayukapwayuka tu. Ushaharibu mood yangu leo.
Oh pls ni mjadala nadhani hukuwa na haja ya kupitilizia kwa mama yake nk. Tumetoka mazingira tofauti, tunafikiri tofauti na tunauelewa tofauti ndio maana tunaelimishana hapa JF huna sababu ya kufika huko
 
Oh pls ni mjadala nadhani hukuwa na haja ya kupitilizia kwa mama yake nk. Tumetoka mazingira tofauti, tunafikiri tofauti na tunauelewa tofauti ndio maana tunaelimishana hapa JF huna sababu ya kufika huko

mgonjwa huyo achana nae........

as for me NOTHING PERSONAL........
 
Nyongeza tu.....

maendeleo.jpg
 
Gharama ya hizo nyumba hazifiki bilioni moja sidhani kati ya hizo nyumba kuna inayozidi milioni 400 Tshs! Hapo ndo ninawasi je nani aliyekadiria gharama hizo?
 
nina wasiwasi aliyekuloga wewe alishakufa. Milembe umetoka lini? Watu wengine bwana, yaani mnakera kwelikweli. Mamako alihongwa nini hadi akakuzaa wewe?
Yaani wewe inaonekana hata ngumbalo hukwenda. Hivi uwezo wa mtu unaweza kufanya lipi katika hali hiyo? Huyo mwenye uwezo ajizalishe? Unataka kusema huyo hahitaji daktari? Au kama ana uwezo alete kitanda chake hospitali? Na hiyo hela inayolipwa kwa ajili ya huduma anakula nani? Wewe habari ya kwenda kwa waganga wa kienyeji inaingiaje kwenye hilo? Lakini hatuwashangai nyie ccm, akili ni ileile tu kama makamba vile. Mnapwayukapwayuka tu. Ushaharibu mood yangu leo.


wewe mgonjwa naona.......
Una tatizo la kuelewa...........

Kwanza usichanganye hoja
na mambo binafsi ya mtu.
Mama yangu humjui na usidhani
watanzania wote mama zao wanajifungua
mwananyamala hospitali au temeke,usiwe mpumbavu
kiwango hiko,
hivi hospitali zote tanzania zina huduma mbovu????
Je hospitali kama aga khan,tmj,zinahudumia matajiri peke yake???

Hivi wewe unaijua mihimbili fast track???????

Kama mama yako alilazwa chini akajifungua na wewe ndo
ukazaliwa dont take it personal.......

Hoja hapa ni je ......
Wote wanaodai huduma bora za afya kutoka
hospitali za serikali hawana uwezo kabisa???????

Kuna hospitali ngapi za makanisa na misikiti ambazo huduma
ni nzuri na gharama nafuuu??????

Kununua khanga na hereni za dhahabu
na kugharamia huduma ya afya yako kipi bora??????

Common sense is not common.
 
nilichojaribu kusema ni kuwa
watu wachukulie kuwa afya zao ni muhimu
kuliko kununua khanga au hereni za dhahabu...
zipo dispensary nyingi za binafsi za bei nafuu.....

sio lazima kila mtu akasuburi huduma
ya bure mwananyamala au amana.

mimi binafsi nawajua wamama kadhaa ambao
wana uwezoa kwenda kwenye dispensary
za binafsi za bei nafuu,but wanaenda
hospitali za serikali kwa kila tatizo lao.

wapo kweli masikini wasio na uwezo
but sio wote,wengine ni mazoea ya
huduma za dezo.

Hivi wewe boss unaishi nchi gani? Hivi huwa unajua kwamba kuna watanzania ambao hata mlo wa siku moja ni shida? Sasa hizo hospitali za binafsi unaziongelea kwa mtanzania gani? Inaonekana huwajadili watanzania wewe mwenzetu bali unawajadili mafisadi. Watanzania halisi na wazalendo wa kweli hata uwezo wa kulipia hiyo hela kidogo katika hospitali ya serikali ni shida, sasa hiyo hela ya hospitali binafsi inatoka wapi?
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa
sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........


Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......


Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

Nimesoma tena na tena post yako ila sijaweza kukuelewa una maana gani, Kuna mambo mengi ynayohitaji ufafanuzi kwa mfano:


  • Maana ya umaskini.
  • Kwa nini unadhani watu walioko mijini hawawezi kuwa maskini, na kwa nini serikali iina na hosptali huko mjini.
  • Kuna kosa gani wakitumia hospitali za serikali mabazo wana haki nazo kama raia wengine, hata kama wana uwezo wa kwenda hospitali za binafsi. Mbona Marehemu Kawawa naye alilazwa kwenye hizo hizo hospitali za serikali
  • Je hospitali za serikali hutoa huduma za bure kabisa?

Unahusishaje kanga walizovaa hali waliyo nayo hapo hospitali.
Kama
 
wewe mgonjwa naona.......
Una tatizo la kuelewa...........

Kwanza usichanganye hoja
na mambo binafsi ya mtu.
Mama yangu humjui na usidhani
watanzania wote mama zao wanajifungua
mwananyamala hospitali au temeke,usiwe mpumbavu
kiwango hiko,
hivi hospitali zote tanzania zina huduma mbovu????
Je hospitali kama aga khan,tmj,zinahudumia matajiri peke yake???

Hivi wewe unaijua mihimbili fast track???????

Kama mama yako alilazwa chini akajifungua na wewe ndo
ukazaliwa dont take it personal.......

Hoja hapa ni je ......
Wote wanaodai huduma bora za afya kutoka
hospitali za serikali hawana uwezo kabisa???????

Kuna hospitali ngapi za makanisa na misikiti ambazo huduma
ni nzuri na gharama nafuuu??????

Kununua khanga na hereni za dhahabu
na kugharamia huduma ya afya yako kipi bora??????

Common sense is not common.

Nina wasiwasi na uwezo wako wa kuelewa, ni kama Makamba tu, hakuna tofauti. Kwani huko Aghakhan umesikia hakuna akina mama wanaojifungulia huko? Au umeambiwa sasa kule hakuna wagonjwa kwa kuwa wote wapo hospitali za serikali? wagonjwa wa Aghakhan wanao uwezo unaowaruhusu wao kutibiwa huko na hao unaowaona temeke uwezo wao unawaruhusu huko. Mafisadi utawaona tu, hawaujui kama kuna watanzania wenye shida. Ningekuona karibu wewe ningekuchapa bakora maana unanikera kweli unapojifanya kama huyajui maisha halisi ya watanzania.
 
nimesoma tena na tena post yako ila sijaweza kukuelewa una maana gani, kuna mambo mengi ynayohitaji ufafanuzi kwa mfano:


  • maana ya umaskini.
  • kwa nini unadhani watu walioko mijini hawawezi kuwa maskini, na kwa nini serikali iina na hosptali huko mjini.
  • kuna kosa gani wakitumia hospitali za serikali mabazo wana haki nazo kama raia wengine, hata kama wana uwezo wa kwenda hospitali za binafsi. Mbona marehemu kawawa naye alilazwa kwenye hizo hizo hospitali za serikali
  • je hospitali za serikali hutoa huduma za bure kabisa?
unahusishaje kanga walizovaa hali waliyo nayo hapo hospitali.
Kama


kichuguu....
Naomba kwanza usome post zangu zote humu
sio hiyo moja tu ya mwanzo.......
Nimezidi kufafanua zaidi kadri tulivyoendelea na mjadala....
 
Nyongeza tu.....

maendeleo.jpg

USA wangeambiwa huyu rais wa Tanzania anayetumia pesa ya walipa kodi kila mwezi kuja marekani na kufanya shopping ya nguvu wangemuwekea vikwazo asitue tena marekani kama Gabriel Robert Mugabe. Yeye siku hizi ni kwenye mkutano wa UN tu.
 
nina wasiwasi na uwezo wako wa kuelewa, ni kama makamba tu, hakuna tofauti. Kwani huko aghakhan umesikia hakuna akina mama wanaojifungulia huko? Au umeambiwa sasa kule hakuna wagonjwa kwa kuwa wote wapo hospitali za serikali? Wagonjwa wa aghakhan wanao uwezo unaowaruhusu wao kutibiwa huko na hao unaowaona temeke uwezo wao unawaruhusu huko. Mafisadi utawaona tu, hawaujui kama kuna watanzania wenye shida. Ningekuona karibu wewe ningekuchapa bakora maana unanikera kweli unapojifanya kama huyajui maisha halisi ya watanzania.


wewe unachekesha mno hujui tu........
Nenda tena huko aga khan na kwingineko ukaone
wanaotibiwa huko...........

Labda nikupe mfano kuwa sasa hivi
nssf wameanzisha mfuko wa matibabu kwa wanchama
wake na moja ya hospitali zinazotumika ni aga khan...

Sasa unless useme wanachama wote wa nssf ni mafisadi na sio
wazalendo.........

Wafanyakazi wa
bandari,
tanesco
tra.
Na makampuni mengi ya binafsi na serikali
wa kada tofauti wanatibiwa huko aga khan na kwingineko


wewe hujui unachoongea........
Hata konda wa daladala akijipanga anaweza
tibiwa aga khan......
Ni swala la kujithamini na kujua sio kila kitu utegemee
serikali.
 
Aisee hizo picha za hospitalini zina sikitisha na aibu kwa serikali na wahusika

Tuanze na Wizara ya Afya ni Prof. .....
Tuangalie pia Naibu waziri wa Afyani ....
Mkurugenzi wa Muhimbili ni...........

Wanalijua hilo, allowance zao zikoje?, wamesafiri nje ya nchi mara ngapi? ..matumizi na vipa umbele vya wizara hiyo nini? hasa?
 
Back
Top Bottom