omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
Heshima mbele wanajamvi.
Leo ni jumanne na tumebakiwa na kama siku nne kuelekea katika tukio la muhimu sana katika historia ya demokrasia ya nchi hii masikini ya Tz.
Wanye jukumu kubwa kabisa katika ushiriki wa tukio hilo la kihistoria sio sisi tulioko huku mbali bali wana Arumeru Mashariki!
Maneno mengi hayasaidii bali nawaomba watakaoweza kuona hizi attachments watumie muda kuzitafakari kwa umakini wote then waamue accordingly.Kikubwa zaidi ni msemo ule ule "changanya na zako"! (Moja ni kwa hisani ya Masoud Kipanya na nyingine ni dada wa Senegal hapo juzi baada ya kupiga kura)
Yangu ni hayo, nawasilisha
Leo ni jumanne na tumebakiwa na kama siku nne kuelekea katika tukio la muhimu sana katika historia ya demokrasia ya nchi hii masikini ya Tz.
Wanye jukumu kubwa kabisa katika ushiriki wa tukio hilo la kihistoria sio sisi tulioko huku mbali bali wana Arumeru Mashariki!
Maneno mengi hayasaidii bali nawaomba watakaoweza kuona hizi attachments watumie muda kuzitafakari kwa umakini wote then waamue accordingly.Kikubwa zaidi ni msemo ule ule "changanya na zako"! (Moja ni kwa hisani ya Masoud Kipanya na nyingine ni dada wa Senegal hapo juzi baada ya kupiga kura)
Yangu ni hayo, nawasilisha