Wamisri wapinga hukumu dhidi ya Mubaraka,waandamana kutaka ANYONGWE

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Maelfu ya raia wa Misri wameandamana kupinga hukumu ya aliyekua rais wa misri bwana Hosni Mubaraka,raia hao wamesema wanapinga hukumu hiyo kwa kudai kuwa ni ndogo,wangependa kusikia anahukumiwa kunyongwa hadi kufa,maana aliua waandamanaji wengi sana TAHRIRI ,iweje leo ahukumiwe kifungo cha maisha?????
*hii ni changamoto nyingine tena ya utawala wa kijeshi nchini misri
 
hongera zenu mafarao kwa kujitambua huku tanzania kesi kama hiyo utasikia niacheni nipumzike, au ni upepo tu huo,au jalada bado analo mfalme juha,utasikia haa arusha sasa ni mahali salama,aaaaaa profesa mwaikyusa huku mambo shwari wamebana sasa wameachia.
 
Wamanga wa afrika mikosi!yaani huyo mubarak hata angeamuriwa anyongwe bado wangeandamana kupinga hukumu na kutaka achinjwe na si kunyongwa!
 
dr:mbura tembelea nchi zao fananisha maendeleo yao na ya nchi yako!!!utajua waliamka kitambo ndio maana kiongozi fisadi wanamng'oa hata kwa maandamo na bila kujali watakufa wangapi,hii si mara ya kwanza kwa misri kumng'oa raisi wao kwa maandamano,mnamo miaka ya 80 walimng'oa fisadi mmoja kwa mfumo huo huo!!!hata mimi nilifikiri itatoka hukumu ya kunyongwa,hii ya kifungo cha maisha bado ni nyepesi kwake,ni haki yao warudi kuandamana tahrir tena,hakuna kuonewa nchi yao lazma waishi kwa uhuru wa kutosha.
 
Wamisri nao km wana UAMSHO tu, kwani kunyongwa au kufungwa maisha kwa Mubarak inawaongezea au inawapunguzia nini?
 
Back
Top Bottom