wangedai ngapi ungeona mdogo?Fahari wawili wakigombana ziumiazo ni nyasi,
Lakini pamoja na hayo huo mshahara wanaoudai ni mkubwa mno..!!!
he created bunch of monsters and they are eating us without mercy!Nahisi Nyerere anajigeuza kaburini kwake akisikia hii kauli yako!
wangedai ngapi ungeona mdogo?
Wakitoka hapo wakipewa kanga za nusu uchi za KTM wanaipa kura CCM.
milioni 7 kwa kila daktari anayeanza kazi ni ndogo kwako wewe kipwinto...???
embu kachote maji ya choooni unywe usiniletee uchizi wako wewe ngubu...!!
wangedai ngapi ungeona mdogo?