Wamarekani lile jiji la New York waliamua aisee!

Kinshasa inaizidi DSM watu mara 3 hivyo hata nyumba na biashara lazima zitakuwepo nyingi.

Kingine Kishansa inaizidi Dar Eneo kwa mbali sana
Kinshasa inaizidi dar population na ukubwa tu. Kwa maendeleo dar iko miles 100 mbele ya Kinshasa. Hapa Nazungumzia miundombinu kama barabara , huduma za afya , umeme , maji , usalama nk
Hata average income per person naona dar imeicha Kinshasa mbali sana angalia hata makazi ya watu japo dar still ni mbovu mbovu lakini Kinshasa ni mbovu haswa.
Usizuzuke na ile barabara pana na skyscrapers za kuhesabu, zunguka mitaani ujionee
Inshort Kinshasa ni moja ya miji inayonifanya kamwe nisijutie kuwa mtanzania
 
Hongera sana kiongozi kwa ku explore the world
Binafsi sioni New York likiwa jiji zuri la kukaa, kwanza ni very populated, wanakaribia 9mil. Pamoja na kuwa na majengo mengi yaliyopangika ila mengi ni ya zamani miaka 1980 hivi kurudi nyuma.
Kwa Marekani majiji ninayo yapenda sana ni kama Los Angeles au Chicago; yamejengeka vizuri sana na pupulation ndogo (karibia Nusu ya Dar).
Kwa mtu anayependa miji mizuri na kuenjoy mazingira yasiyo na Purkushani; hiyo ndio miji ya kutembelea.
Kwa hapa Africa Capetown is the best kwa wanaopenda miji mizuri na iliyotulia
Ushahidi upo wazi; Angalia hata kile kiwanja chao cha ndege maarufu sana hapo New York kijulikanacho kama John F Kennedy (JFK)ni cha kizamani ilijengwa miaka ya 1960 na huwezi kukilinganisha na viwanja vya kisasa kama vilivyopo Nchi za Kiarabu na Asia kwa ujumla. Hata hivyo wanampango wa kujenga termina III hapo JFK ambayo naamini itakuwa ya kisasa sana
Ukweli sijafika huko Ila naijua vizuri miji ya dunia kupitia World Tourisim Geography niliyosoma miaka hiyo....
yaa umeandika jambo sahihi sana ,ingawa ni kwa mtazamo wake yeye ila ni jiji lenye majengo ya miaka ya nyuma sana
 
Mbona Dubai palikuwa jangwa zaidi kuliko hata Dodoma?

Imekuwaje leo hii pawe pazuri vile?

Tuwe tunajifunza kwa waliotuzidi maarifa na maendeleo, pia maendeleo ni utanuzi wa maeneo mengine si kila kitu kiwe eneo 1 tu la Dar tangu tupate uhuru.
Kwamba Dubai ina Stendi na Soko ambalo halitumiki kwa ujazo?
 
In New York (ayy)
Concrete jungle where dreams are made of
There's nothin' you can't do (that boy good)
Now you're in New York (welcome to the bright light, baby)
These streets will make you feel brand-new
Big lights will inspire you
Let's hear it for New York
New York, New York
Empre state of mind. Jay ft Alicia Keys
 
Hapana, mastaa wao wengi wa India wanaishi Mumbai. Mji uliojengeka na wa kistaarabu. New Delhi ukipewa gari katikati ya jiji unaweza ushindwe kuendesha, honi ni nyingi hadi masikio yatakuuma.
Vihindi vilivyo vilazmishi lazima honi ziwe nyingi, watu tumeumbwa tofaut ila wahindi wameumbiwa ubishi
 
Karibu na New York harbour kuna hii kitu asee😬🙌
downloadfile-2.jpg
 
Back
Top Bottom