Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,225
- 33,686
Mnafeli wapi kila anayeombwa picha anaruka kama kachomwa mwibaCna hapa ila nakumbuka niliwah kuogelea swimming pool ile ya gorofa unauona mji kwa chini ni balaa. Jamaa wamejitahd mbaya kabisa
Mnafeli wapi kila anayeombwa picha anaruka kama kachomwa mwibaCna hapa ila nakumbuka niliwah kuogelea swimming pool ile ya gorofa unauona mji kwa chini ni balaa. Jamaa wamejitahd mbaya kabisa
sema nyerere na aliwahi sanaTusingedai Uhuru Dar ingeizidi Capetown kwa uzuri na mpangilio
Kiherehere chake ndo kimetuletea umasikini, Uhuru walitaka kuongoza awajuisema nyerere na aliwahi sana
Bro hiyo miji mi nimekwenda sana miaka ya 2012 huko Sasa natembea na picha kwenye cm mpaka leo za nini. Ila ukitaka picha mbona zipo hewan unagoogle tu simpo Mzee.Mnafeli wapi kila anayeombwa picha anaruka kama kachomwa mwiba
Uzi unao endana na picha humoga sana. Unadhani sijawahi pota youtube kuangalia walking through newyork?Bro hiyo miji mi nimekwenda sana miaka ya 2012 huko Sasa natembea na picha kwenye cm mpaka leo za nini. Ila ukitaka picha mbona zipo hewan unagoogle tu simpo Mzee.
Nimekumbuka "States of the empire" wimbo wa Jay Zee "Jiga" akiwa na Alicia Keys, bonge la bit michano murwa kabisaChris Brown
daah yani hapo dar, tanga, mtwara inge kuwa ni kwere angewa acha kama miaka 20 mbele tu ingekuwa nafuu,Kiherehere chake ndo kimetuletea umasikini, Uhuru walitaka kuongoza awajui
Daaah ujue huwa nakupendea hapo tu, yani huwa huna chembe ya unafkiStop hating Sweetheart,
Learn to Live, it won't cost you a dime to be positive..!
Ahsante sana mwana blues mwenzetu,💙Daaah ujue huwa nakupendea hapo tu, yani huwa huna chembe ya unafki
Hiyo Los Angeles kudadadeki huwa naiangalia tu kwenye muvi hakika imekaa kiuzuri balaa, naamini ipo siku kwa neema za Mungu nikiwa hai nitatia nanga.Mimi ndoto yangu ni Kwenda Los Angeles na Atlanta Georgia
Yaani we acha miji imrpangika haswaDaah wenzetu wameyajenga hasa hayo maeneo..ukifika si mindset inabadilika kabisa...imagine Las Vegas, Nevada, Miami, Loss Angeles..
Hakika ipo siku tutakutana huko Los Angeles tupige selfie 🤳Hiyo Los Angeles kudadadeki huwa naiangalia tu kwenye muvi hakika imekaa kiuzuri balaa, naamini ipo siku kwa neema za Mungu nikiwa hai nitatia nanga.
Hiyo kazi ilikuwa bomba sanaKazi niliyokuwa nafanya for 15 years. Ila Sasa mkataba umeisha na kujilipia mwenyewe ni ghali sana siwezi
Pokea mido finger man.Villazza mnawaza wanawake tu
Mkuu hapa duniani kuna Watu wanaoishi na wanaoisha, jiulize upo miongoni mwa kundi gani?Hongera, ulifikafikaje miji yote hiyo
Mkuu mbona unatupanga hv.....Hata Kinshasha na Nairobi na Bujumbura??????Kuna jambo nimeamua kushea kidogo humu.
Kwa kazi yangu nashukuru Mungu nimetembea tembea kidogo katika majiji mengi makubwa duniani.
Nilipofika New York Marekani, aisee lile jiji ni zuri sana. Wiki mbili nilizokaa niliziona chache sana. Wenyeji wangu walinitembeza sana, nilienjoy mno, nilikuwa na wakati mzuri sana. (Naamini kuna siku nitarudi tena).
Nilimelitaja jiji la New York kuwa zuri sana nikilinganisha na majiji niliyowahi kufika ingawa yote sikuwahi kukaa zaidi ya mwezi. (Unaweza kupingana na mimi kwa majiji ambayo umewahi kufika mimi sijawahi)
Majiji yenyewe ni haya:
Afrika.
Bujumbura(Burundi), Nairobi, Kisii na Kisumu(Kenya), Blantyre, Karonga, Mzuzu, Zomba na Lilongwe(Malawi), Maputo, Cabo Delgado, Tete na Chimoio (Msumbiji), Luanda na Calulo (Angola), Kinshasa na Lubumbashi (DR Congo), Johannesburg((Afrika Kusini)
Ulaya
Frankfurt na Berlin (Ujerumani), London (England), Helsinki(Finland), Paris (Ufaransa)
Midlle East
Beirut (Lebanon)
Asia
Hon Kong na Beijing (China), Seoul (Korea Kusini), New Delhi na Mumbai (India)
Latin America
Huku sikufika katika nchi tano tu (Argentina, Paraguay, Uruguay, Chile na Venezuela) zingine zote nimefika
North Amerika
Marekani(New York)
Hitimisho langu, katika majiji yote hayo niliyofika mimi, kwakweli nakiri kabisa, New York ni JIJI haswa.
Halafu kwa jiji la Kinshasa kule DR Congo kwangu mimi binafsi Dar es Saalam bado tuko nyuma sana. Kabla hujafika ukisikia mambo ya vita ya Congo unaweza kudhani Kinshansa ni kajiji tu kahovyo, lakini aisee, nalo ni jiji kweli kweli.