HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,482
- 94,888
Majiji hujijenga yenyewe kulingana na uhitaji wa vitu na watu.Kuna wenzako huku wanapinga mji wa dodoma kujengwa.
Stendi na Soko la Dodoma ni mfano mzuri wa upotevu wa pesa
Majiji hujijenga yenyewe kulingana na uhitaji wa vitu na watu.Kuna wenzako huku wanapinga mji wa dodoma kujengwa.
Kinshasa....👍👍Kuna jambo nimeamua kushea kidogo humu.
Kwa kazi yangu nashukuru Mungu nimetembea tembea kidogo katika majiji mengi makubwa duniani.
Nilipofika New York Marekani, aisee lile jiji ni zuri sana. Wiki mbili nilizokaa niliziona chache sana. Wenyeji wangu walinitembeza sana, nilienjoy mno, nilikuwa na wakati mzuri sana. (Naamini kuna siku nitaruri tena).
Nilimelitaja jiji la New York kuwa zuri sana nikilinganisha na majiji niliyowahi kufika ingawa yote sikuwahi kukaa zaidi ya mwezi. (Unaweza kupingana na mimi kwa majiji ambayo umewahi kufika mimi sijawahi)
Majiji yenyewe ni haya:
Afrika.
Bujumbura(Burundi), Nairobi, Kisii na Kisumu(Kenya), Blantyre, Karonga, Mzuzu, Zomba na Lilongwe(Malawi), Maputo, Cabo Delgado, Tete na Chimoio (Msumbiji), Luanda na Calulo (Angola), Kinshasa na Lubumbashi (DR Congo), Johannesburg((Afrika Kusini)
Ulaya
Frankfurt na Berlin (Ujerumani), London (England), Helsinki(Finland), Paris (Ufaransa)
Midlle East
Beirut (Lebanon)
Asia
Hon Kong na Beijing (China), Seoul (Korea Kusini), New Delhi na Mumbai (India)
Latin America
Huku sikufika katika nchi tano tu (Argentina, Paraguay, Uruguay, Chile na Venezuela) zingine zote nimefika
North Amerika
Marekani(New York)
Hitimisho langu, katika majiji yote hayo niliyofika mimi, kwakweli nakiri kabisa, New York ni JIJI haswa.
Halafu kwa jiji la Kinshasa kule DR Congo kwangu mimi binafsi Dar es Saalam bado tuko nyuma sana. Kabla hujafika ukisia mambo ya vita ya Congo unaweza kudhani Kinshansa ni kajiji tu kahovyo, lakini aisee, nalo ni jiji kweli kweli.
Sawasawa, Zanzibar..Sisi wazanzibar ,Zanzibar ndio sehemu namba moja
DUNIANI
Kwakweli Jorbeg kama wenyeji wanavyopaita, napo pazuri jamaniHata Johannesburg, pia monaco, na Singapore ni kutam sana asee
🤣🤣🙌 NimechekaHata mimi nimetembelea Majiji kadhaa nchini! Hakika nimeinjoi sana. Kuanzia Dar es salaam, Dodoma, Tanga, Mbeya, Arusha! Na sasa naangalia uwezekano wa kutembelea Jiji la Mwanza!!
Yeah!! Kila mtu ashinde mechi zake. Maana hakuna namna nyingine.
Umasikini wa mali na akili! #kataaUmasikiniEti New York!...... Eti New York!.... New York ya Nyooko!...!!!
Hivi hiyo new York unadhani ni kama ushirombo eh!!? ..... Unaichukulia kirahisi rahisi hivyo eeh!?......
Vimiji vya kusini mwa jangwa la sahara umevitaja vizuri vyoote....kwa msaada wa google maps....
Ila kulee .....New York yenyewe sasa! Og!......teh!....! Mtihani!
Sawa BigBro...mi sitaki kudate 😅Sijwahi kudate humu
Ukitembelea majiji kama hayo kazi sio kujifotoa picha tu bali kuchukua picha za mitaa mbalimbali iliyokuvutia majengo open spaces hotel rooms madhari ya nje ya hoteli n.k sasa ulifeli wapi?Ngoja nifike home. Tatizo kuna wengine mkiwaona nitakuwa nimeuza picha, mtaunga dot, maana nyingi za pamoja pamoja
Mamndenyi huyu kwenye profile pic ni wewe mwenyewe?Dasalmu
@BigBro mimi ndoto yangu ni kufika hapo Mauritius tu, siku ukienda niweke hata kwenye bag tuZile barabara zao nane, ingie kwenye mahotel ni balaa, Uzuri ukiwa na Dola haubadishi labda uamue. Unalipaa kwa dola kila kitu
Ungejua tunavyokuwaga basi tu. Mara nyingi tunapenda self kwenye sehemu nzuri nzuri. Ukipiga sehemu peke yake ukirudi bongo hakuna cha kuwatambia wana ofisini watasema umegoogleUkitembelea majiji kama hayo kazi sio kujifotoa picha tu bali kuchukua picha za mitaa mbalimbali iliyokuvutia majengo open spaces hotel rooms madhari ya mje ya hoteli n.k sasa ulifeli wapi?
Duh, jmn kumbe Africa kuzuri hiviZile barabara zao nane, ingie kwenye mahotel ni balaa, Uzuri ukiwa na Dola haubadishi labda uamue. Unalipaa kwa dola kila kitu
Halafu hili jina ukiunganisha dot ni rahisi KunijuaUkitembelea majiji kama hayo kazi sio kujifotoa picha tu bali kuchukua picha za mitaa mbalimbali iliyokuvutia majengo open spaces hotel rooms madhari ya mje ya hoteli n.k sasa ulifeli wapi?
Siku ukiendaHapo sijafika bado