sasahivi uneonyesha machurity sana mkuu keep it up ilitakiwa uwe hivyo
kama unasoma UDSM basi..
hiki chuo hamna kitu tenaaa..
eti pharmacist UDSM, mmh!!
kama unasoma UDSM basi..
hiki chuo hamna kitu tenaaa..
UDSM hakuna coz ya pharmacy bana, kwani kuna sehem amesema yeye ni mwana chuo wa udsm???
kha...eti machurity?hata kuandika hujui halafu ndio unajifanya umesoma muhimbili?pyeeee uongo tu umekujaa
kama mapharmacist ndo hawa tutauliwa mwaka huu...
Jamani sina hakika huyu kijana kuuliza au kuomba ushauriamekosea nini? Alichotakiwa kama watuwazima wamwelimishe jinsi ya kukabilianana hali hiyoiliyomkuta. Badala yake watu wanalazimisha mambo Fulani kwa mfanotutumie namba yake. Wakati yeye anashangaa na kutakwa na mtu mzima kitu ambachoanakiona strange anapata mshangao mwiningne anatakiwa agawe namba ya mtu bilahata ridhaa yake.ndio maana unapotoa post unatakiwa ujipange vizuri ili watu wakuelewe vizuri mkuu wepson
Asante mama Jf lina mitoto kutoka face book siku hizi haina mawazo yoyote!!!!!!!!Jamani sina hakika huyu kijana kuuliza au kuomba ushauriamekosea nini? Alichotakiwa kamawatuwazima wamwelimishejinsi ya kukabilianana hali hiyoiliyomkuta. Badala yake watu wanalazimisha mambo Fulani kwa mfanotutumie namba yake. Wakati yeye anashangaa na kutakwa na mtu mzima kitu ambachoanakiona strange anapata mshangao mwiningne anatakiwa agawe namba ya mtu bilahata ridhaa yake.
Mi nakubaliana na ushauri uliotolewa kuwa amueleze kuwahamuhitaji kutokana na umri wake na principal yake ni kuwa na msichana umrisawa na wake au mdogo zaidi >18 of course na asimfuatilie tena period!Afanye jitihada kujichanganya sehemu mbalimbali ili aweze kupata msichanaatakaekuwa radhi nae.