Ntambaswala
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 255
- 78
Kuna rafiki yangu mmoja Mmalawi anafundisha chuo kikuu kimoja hapa Dar aliwahi kunieleza kuwa kwa viwango vya wanafunzi wa bongo anawaofundisha (chuoni) wengi wao wana viwango sawa na watoto wa shule za upili( sekondari) za kwao. Nilibisha sana, basi akaniamwambia wamalawi eti ni vichwa sana akanipa mifano kadhaa ya wamalawi waliopo hapa TZ ambao ni vichwa(na kweli hao watu ni vichwa sana). Aliowataja ni hawa hapa sasa sijua kama ni kweli
1. Profesa Mathew Luhanga
2. Profesa Nkoma wa TCRA
3. Profesa Msambichaka (wote wawili)
4. Marehemu Austin Shaba
5. Maremu Kambona
6. Marehemu Nyirenda wa Uhuru Torch Kilimanjaro
7. Kasesera wa mpira wa kikapu
8. Msowayas
9.Kasambalas
10. Chiume
11. Lifa Chipaka
12.
1. Profesa Mathew Luhanga
2. Profesa Nkoma wa TCRA
3. Profesa Msambichaka (wote wawili)
4. Marehemu Austin Shaba
5. Maremu Kambona
6. Marehemu Nyirenda wa Uhuru Torch Kilimanjaro
7. Kasesera wa mpira wa kikapu
8. Msowayas
9.Kasambalas
10. Chiume
11. Lifa Chipaka
12.