Wamakonde na msiba

Kessy Hamisi

Member
Jun 25, 2012
24
8
Wamakonde fulani siku moja walikuwa kwenye roli wakielekea msibani...waliimba nyimbo mpaka zikaisha wakabaki wanaangaliana basi mara mmakonde mmoja akajichoma na msumari akaanza kulia ''MAMAAAA NCHUMARI UNENCHOMAAA WEEE!! wenzake wakajua mwenzao kaanzisha mwimbo wakaanza kuimba ''MAMAAA NCHUMARI UNENCHOMAAA
 
Me nakumbuka alivyochomwa akaanza kumuita dereva DEVERA CHIMAMICHA GALI NIMEKITWA NA NCHUMALI,wenzake wakawa wanaitiki wakijua mwimbo kumbe jamaa kweli kakitwa na nchumali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom