Kessy Hamisi
Member
- Jun 25, 2012
- 24
- 8
Wamakonde fulani siku moja walikuwa kwenye roli wakielekea msibani...waliimba nyimbo mpaka zikaisha wakabaki wanaangaliana basi mara mmakonde mmoja akajichoma na msumari akaanza kulia ''MAMAAAA NCHUMARI UNENCHOMAAA WEEE!! wenzake wakajua mwenzao kaanzisha mwimbo wakaanza kuimba ''MAMAAA NCHUMARI UNENCHOMAAA