Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
- Thread starter
- #21
mkuu ndio maana nikasema kadanganya kama mtaalam wa uchumi na masoko ya kifedha huwezi kuongea mbele ya chombo cha habari na kusema mgongano wa kifedha umesababishwa na vita ya iraq na kupanda kwa mafuta.....Amesema matatizo ya nishati na vita yamechangia financial crisis, hayo ya mortgage defaults 'wall street finacial analyst' hakuyataja?
.....