Wall street financial analyst is lying


January Makamba ameingiaje? January ameingizwa humu na mpambe wa Mashaka, Kilandu, CCMasili (msome hapa na hapa). Tuwaulize nyinyi mliomchomeka hapa kumpamba.

January ni plagiarist, ni kilaza, ndio maana wala hata hakubisha akaondoa haraka iwezekanavyo zile articles alizokuwa amezibandika kama zake, akazirudisha na attribution ya NY Times siku ile alipoanikwa hapa JF. Na athubutu kuzirudisha kwenye blog yake na jina lake kama mwandishi. Muulizeni kwa nini aliondoa jina lake?

Kitu kingine January amefanya baada ya kuwa exposed hapa siku zile ni kuondoa access kwenye profile za wachangiaji wake, kama Waziri mstaafu Diallo ambae alitia aibu jinsi alivyo ji introduce occupation yake. Sasa hivi huwezi kuona profile/wasifu wa wachangiaji. Ukibonyeza jina inakwambia profile not available. Naona wamefanya mabadiliko. Wanaficha profile baada ya kukosolewa na JF. Umeshaona wapi watu wanaanzisha blog halafu wanaficha profile zao? Aibu tupu, vilaza, wezi wakubwa. Nadhani Waziri aliomba January amtoe, au January aliamua kuwahi kumsitiri Waziri Diallo. One or the other. Sasa watu kama January, Diallo, Shayo, Mashaka, watupu kama hawa ni wa kuwaonea wivu?

Fool, forget about the rest, especially the kids, mashaka and january; let it be between me and you one on one. You dont know me I dont know you, lets square it off.........

We are sick and tired of your immaturity....... forget about those kids you have been victimizing. I am going to expose your shoplifting behavior.
 
Kaka ChingaMzalendo
I think you have stated it very clear. I hope we all will learn to respect other people instead of making personal attack. Personal attack are a proof to one's inability to analyze an issue. So thanks for also sharing your frustration. This is a very great forum for learning, but there are a few people who sometimes get carried away. I think it is time now to move forward and assume that we have all learned something out of this.

Asante sana kwa wote who have condemned personal attacks. Lets take as a lesson and moveown.

Mungu Bariki all the Jamii forums and its members.
 
Sawa Mkuu, Field Marshall. Ngoja tuyamalize ki-hutu uzima. Ila inaumiza sana jinsi watanzania tusivyopenda maendeleo ya wengine. Hawa ni watoto wadogo sana ambao wanajituma kuihamasisha jamii matokeo yake wanitwa majina ya kila aina. Yoyo na Uwiano lazima watoe uthibitisho kuhusu shutuma zao

Huyu Yoyo Anadhania hatumjui, katuma article kwa Michuzi akidhania kwamba asingejulikana, baadae kaja huku kusambaza uozo dhidi ya Janauary na Mashaka, na hata Dr. Shayo, Uwiano ndo usiombe namuonea huruma.

Hawa watoto wote ni watoto wa Kitanzania, walio zaliwa Tanzania. Heshima kwako Field Marshall. Jina lako tumelifuta kutokana na melezo yako ya hutu uzima.


- Ahsante mkuu kwa kunielewa, maana details zote za Dogo ninazo, ninamheshimu sana kutokana na shughuli zake za Charity, infact mimi hata sikujua kwamba ana mambo ya financials, ingawa ninajua hata mahali anapofanyia kazi kule NC, nilijua mkuu ni mtu wa Charities tu maana ninajua sana jinsi anavyosafiri isdhani kama anaweza kuaka one place zaidi ya wiki moja. Ningekua na nia ya kumchafua wala isingekua tatizo, lakini nilichotaka ni kujua hilo tu mkuu la uraia wake ambalo wala sio big deal, maana naona hamna jibu.

Respect and Out!

FMES
 
- Duh jamaa umemshitukia kuwa ni mtupu? Acha kunivunja Mkulu UM mbavu Bwa! ha! ha! ah! ah! ha!

Respect.

FMES!
Way back 2K9 ......mzee wa majuu ukitaka kijua mie mtupu soma hii
Mtikisiko wa uchumi duniani waiathiri Tanzania
Imeandikwa na Faraja Mgwabati; Tarehe: 28th March 2009 @ 20:03 Imesomwa na watu: 760; Jumla ya maoni: 1

Athari za mtikisiko wa uchumi duniani zinaendelea kugusa sekta mbalimbali nchini na kusababisha hofu miongoni mwa wananchi na wadau mbalimbali kama hali hiyo itaendelea kwa muda mrefu. Kwa mujibu wa taarifa zilizosomwa na wizara mbalimbali jana katika mkutano wa kujadili athari hizo, kila sekta ya uchumi imeathirika, huku sekta za madini na nishati ambazo ndizo zinachangia kwa kiasi kikubwa uchumi na pato la taifa (GDP), ikiwa hatarini zaidi. Mkutano huo ambao unafanyika Dar es Salaam, ukiwa umeandaliwa na Wizara ya Fedha na Uchumi, ukishirikisha wataalamu na wadau wa maendeleo kutoka ndani na nje ya nchi uliambiwa na Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, kuwa athari hizo tayari zinaonekana nchini.

Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Nishati na Madini, ilionyesha kuwa baadhi ya migodi ya madini kama vile North Mara ambao unamilikiwa na Barrick Tanzania, unatarajia kupunguza wafanyakazi 200. Pia miradi mingi ya madini na nishati imekwama ukitolewa mfano wa miradi ya umeme wa gesi ambayo ilikuwa itekelezwe na kampuni ya Artumas Mtwara kwa thamani ya dola milioni 153 za Marekani ambao sasa umesimama. Aidha, mradi wa makaa ya mawe wa Kiwira ambao ulikuwa uzalishe megawati 200 nao umekwama.

Mingine iliyokwama ni wa Kabanga Nickel ambao kutokana na kushindwa kuanza, utaikosesha serikali mapato ya dola bilioni 1.9 (Sh trilioni 2) kwa mwaka, huku mradi wa umeme ambao ulikuwa uzalishwe na kampuni ya Sekab ya Sweden nao umechelewa. Hali kadhalika mtikisiko wa uchumi umeshusha bei ya tanzanite kutoka dola 500 kwa kipimo cha carat hadi dola 200 na almasi imeshuka kwa asilimia 60 na imeelezwa kuwa hali huenda ikazidi kuwa mbaya. Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Miundombinu inaonyesha kuwa ndege za kimataifa zinazotua nchini kuanzia mwaka jana zilipungua kutoka asilimia 16.1 mwaka juzi hadi asilimia 6.4.

Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko ilionyesha miradi minane muhimu ambayo ilikuwa itekelezwe kushindikana au kuchelewa kuanza na haifahamiki lini itaanza. Miradi hiyo ni pamoja na wa magadi Ziwa Natron ambapo mwekezaji, TATA Chemicals Limited amejitoa, mradi wa kufufua kiwanda cha Kilimanjaro Machine Tools, Mchuchuma na Liganga, Bandari Kavu Dar es Salaam, mbao Mtwara, umeme Mnazi Bay na saruji Nangote Mtwara nayo imesimama.

Naye Waziri Mkulo alisema kilimo kinatarajia kushuka kutoka asilimia 3.6 mwaka jana hadi 3.1 mwaka huu, sekta ya hoteli na migahawa itashuka kutoka asilimia 4.1 mwaka jana hadi asilimia 1.4 mwaka huu na ajira zinatarajia kupungua kwa nchi masikini. Baadhi ya maoni ya wizara hizo kuhusu nini kifanyike ni pamoja na kupunguza utegemezi kwenye misaada kutoka kwa wahisani wa nje, kupunguza utegemezi kwenye masoko ya Ulaya na Marekani na kuimarisha masoko ya ndani na kutazamwa upya kwa mfumo wa fedha wa Dunia ili uweze kukidhi mahitaji ya nchi zote.

HabariLeo | Mtikisiko wa uchumi duniani waiathiri Tanzania
 
Wewe Yo Yo uko na uelewa mkubwa sana juu ya Financial Crisis, na kama huyo Financial Analyst
hakugusia kabisa hizo issues ulizozitaja basi ni kilaza wa hali ya juu sana.

Japo siwezi kumlaumu sababu hata the leading figures in the Tanzanian Financial System wanaweza
kupata shida sana kutoa maelezo tena kwa kiswahili katika level ya YO YO.
Kwa kuongezea ni kwamba, derivatives zilizokuwa zikiuzwa kama njugu kitalaamu zinaitwa
collateralized debt obligations (CDOS) na ndio hasa ulizozielezea kwa ufasaha kabisa.

Big up, Hapa umemfanya huyo Mashaka kuwa mdogo kama siafu
 
mashaka haters mpooooooooooooooooo???mwenzenu ndio kwanza anaendelea zake hata hawasikiii shame on you,wengine nadhani mkirudia kusoma mliyokuwa mnaandika kuhusu mashaka mnapata aibu kabisaa....
 
Back
Top Bottom