Kwaya ya Ulyankulu barabara ya 13 Tabora ilikuwa kwaya ilivuma na kushika chati za nyimbo za injili na ninakumbuka wazazi wangu walikuwa wapenzi wakubwa na tuangalie video yao kali ingawa walitokea kitongoji kidogo huko Tabora miaka nadhani ya 1970/80
Last edited by a moderator: