chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,727
Nakumbuka nilikutana na mkenya katika pilikapilika zangu kwenye maongezi aliniambia vitu vya kushangaza sana kama "Nchi yetu ni rahisi sana kutoboa bila kutumia pesa yako".
sasa nikarudi nyuma kufikilia jinsi wawekezaji wanavokuja hata pesa zao hawatumii wanakuja wengine kama wakulima na kukopea ardhi hii.
Nikakumbuka shirika la reli kipindi cha nyuma walivo wale wahindi walivokuja kama wawekezaji na mwisho kukopea.
Nikakumbuka Escrow wawekezaji walivokopea. Nikakumbuka pale mlimani city jamaa alituweza kweli. Hii nchi muwekezaji anaogopwa hata kama hana pesa watamkubalia.
Nimejisikia vibaya, tule urefu wa kamba yetu.
sasa nikarudi nyuma kufikilia jinsi wawekezaji wanavokuja hata pesa zao hawatumii wanakuja wengine kama wakulima na kukopea ardhi hii.
Nikakumbuka shirika la reli kipindi cha nyuma walivo wale wahindi walivokuja kama wawekezaji na mwisho kukopea.
Nikakumbuka Escrow wawekezaji walivokopea. Nikakumbuka pale mlimani city jamaa alituweza kweli. Hii nchi muwekezaji anaogopwa hata kama hana pesa watamkubalia.
Nimejisikia vibaya, tule urefu wa kamba yetu.