Wewe ni ku*amayo zako!Umeme ni tatizo la kitaalamu, na linatatuliwa kitaalamu, sio kwamba huyo muuza furu, nchima na maziwa meno yake yaliongeza umeme katika gridi ya taifa.
Wakati wake hali ya mvua ilikuwa nzuri, mabwawa yakawa na umeme, kwa hiyo unataka kuniambia yeye aliamuru mvua zinyeshe
Ajabu. Tena imepitiliza uzuri hadi mafuriko!Hali ya mvua sasa hivi ni mbaya?
Waulize hata madereva wa boda bodaSisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara.
Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele.
Suluhisho ni kutubu.
Usihangaike na huyo Mhuni! Huyo ni Januari anajiteteaKwahiyo sasahivi mvua hazinyeshi?
Enhe, chanzo cha upungufu wa sukari kulingana na Msomali wa BBT ni nini kama si mvua.
Kwahiyo mvua ya Tanzania inanyesha kwenye mashamba ya miwa huku kwenye vyanzo vya uzalishaji wa umeme kuna ukame?
Sio lazima umsifie mtu ila sio sahihi kumfanya kiongozi aonekane hana zuri analofanya kisa ana mabaya yake, yani mlimfanya aonekane anafanya mabaya tu.JPM akiwa kama rais wa nchi yetu alilalamikiwa kwa mabaya aliyoyafanya, lakini hakusifiwa kwa mazuri yake kwa kuwa huo ulikuwa ni wajibu wake wa kikatiba.
Sisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara.
Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele.
Suluhisho ni kutubu.
Roho mbaya na chuki haitakufukisha sehemu.
Corona ndiyo ilifanya finishingAlimuua nani? Hamna jipya.
Khaa!Kwa hiyo aliondoka na umeme na maisha mazuri?Inashangaza.Sisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara.
Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele.
Suluhisho ni kutubu.
Shetani kwa lipi? Mbona vyeti feki mnahasira sana.Yeye alikuwa na roho nzuri, Hadi sasa hivi hiyo roho yake nzuri imemfikisha wapi? Msitake kutulazimisha kumuona alikuwa mzuri wakati tunajua kabisa alikuwa ni shetani katika umbile la binadamu.
Wapumbavu wao au wale wasioelewa kuwa tatizo lilianzia awamu ya Magufuri.Ni wapumbavu mno
Watakuambia uongozi wa saa100 ni mzuri zaid kuliko jpm kwa kuwa tu wameruhusiwa kuiba bila ya kuulizwa na kutunisha matumbo yao ..hawanaga hoja ya maanaSisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara.
Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele.
Suluhisho ni kutubu.
Mabaya gani au ni yale ya kuwafuta wenye vyeti vyekiJPM akiwa kama rais wa nchi yetu alilalamikiwa kwa mabaya aliyoyafanya, lakini hakusifiwa kwa mazuri yake kwa kuwa huo ulikuwa ni wajibu wake wa kikatiba.
Shetani kwa lipi? Mbona vyeti feki mnahasira sana.