Waliomponda Magufuli ndio hao hao wanaolamika umeme kukatika

Umeme ni tatizo la kitaalamu, na linatatuliwa kitaalamu, sio kwamba huyo muuza furu, nchima na maziwa meno yake yaliongeza umeme katika gridi ya taifa.

Wakati wake hali ya mvua ilikuwa nzuri, mabwawa yakawa na umeme, kwa hiyo unataka kuniambia yeye aliamuru mvua zinyeshe
Wewe ni ku*amayo zako!
Kwani sasa hivi haya mafuriko na umeme hakuna ni sababu ya ukame?
Mb*a wewe!
 

Waliomponda Magufuli ndio hao hao wanaolamika umeme kukatika ?​


Ndio.

Ndio hao hao.

Makasiriko FC
 
Sisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara.
Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele.
Suluhisho ni kutubu.​
Waulize hata madereva wa boda boda
Kwahiyo sasahivi mvua hazinyeshi?
Enhe, chanzo cha upungufu wa sukari kulingana na Msomali wa BBT ni nini kama si mvua.
Kwahiyo mvua ya Tanzania inanyesha kwenye mashamba ya miwa huku kwenye vyanzo vya uzalishaji wa umeme kuna ukame?
Usihangaike na huyo Mhuni! Huyo ni Januari anajitetea
 
JPM akiwa kama rais wa nchi yetu alilalamikiwa kwa mabaya aliyoyafanya, lakini hakusifiwa kwa mazuri yake kwa kuwa huo ulikuwa ni wajibu wake wa kikatiba.
Sio lazima umsifie mtu ila sio sahihi kumfanya kiongozi aonekane hana zuri analofanya kisa ana mabaya yake, yani mlimfanya aonekane anafanya mabaya tu.
 
Sisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara.
Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele.
Suluhisho ni kutubu.​

Kwamba hatujui tulikuwa tunamkataa kwa lipi? Au unadhani kwakuwa huu umeme unakatika Sasa hivi ndio tutamuona alikuwa wa maana? Ni hivi, sisi sio waumini wa viongozi madhalimu. Kama ni tatizo la umeme hivi Sasa litatatuliwa kwa namna nyingine, ila sio kwamba tutaona yeye alikuwa wa maana. Kama ulikuwa unamkubali mkubali kimpango wako, lakini usitegeemee tutafikiri alikuwa wa maana sana.
 
Roho mbaya na chuki haitakufukisha sehemu.

Yeye alikuwa na roho nzuri, Hadi sasa hivi hiyo roho yake nzuri imemfikisha wapi? Msitake kutulazimisha kumuona alikuwa mzuri wakati tunajua kabisa alikuwa ni shetani katika umbile la binadamu.
 
Watu wenye akili wanatafuta ufumbuzi wa kudumu wa changamoto sugu zinazowakabili wananchi nasio kunyenyekea kwa mtu kwasababu ya cheo chake au kwasababu ni rais.hayo yakunyenyekea mtu bakini nayo uko kwenu.
 
Sisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara.

Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele.

Suluhisho ni kutubu.​
Khaa!Kwa hiyo aliondoka na umeme na maisha mazuri?Inashangaza.
 
Yeye alikuwa na roho nzuri, Hadi sasa hivi hiyo roho yake nzuri imemfikisha wapi? Msitake kutulazimisha kumuona alikuwa mzuri wakati tunajua kabisa alikuwa ni shetani katika umbile la binadamu.
Shetani kwa lipi? Mbona vyeti feki mnahasira sana.
 
Sisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara.

Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele.

Suluhisho ni kutubu.​
Watakuambia uongozi wa saa100 ni mzuri zaid kuliko jpm kwa kuwa tu wameruhusiwa kuiba bila ya kuulizwa na kutunisha matumbo yao ..hawanaga hoja ya maana
 
JPM akiwa kama rais wa nchi yetu alilalamikiwa kwa mabaya aliyoyafanya, lakini hakusifiwa kwa mazuri yake kwa kuwa huo ulikuwa ni wajibu wake wa kikatiba.
Mabaya gani au ni yale ya kuwafuta wenye vyeti vyeki
 
Shetani kwa lipi? Mbona vyeti feki mnahasira sana.

Ww kwakuwa ulikuwa mchepuko wake lazima umuone wa maana kutokana na kwamba alikutoa kimaisha. Ni hivi, alikuwa shetani fullstop.
 
Back
Top Bottom