mpuko
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 662
- 549
Kila zama na manabii wake...Natamani sana wairudie ilikuwa nzuri sana
Kila zama na manabii wake...Natamani sana wairudie ilikuwa nzuri sana
na sheria tano za machokoraaChokaraa damu .Joto na Linda na Vita nilipenda sana walivyoigiza wale watoto
Mponda alivyofulia akaenda kuomba kazi ya ulinzi kwenye jumba la mzee Kasri so akakutana na Rukia akamwambia kama nilishawahi kukuona walizuga kuwa jamaa ni mtunzi wa mashairi ikabidi aambiwe atunge shairi kwenye birthday ya Sitti bint Kasri ...dah nikikumbuka i wish the time could go back....
Ilikua poa sanaChokaraa damu .Joto na Linda na Vita nilipenda sana walivyoigiza wale watoto
Mponda alivyofulia akaenda kuomba kazi ya ulinzi kwenye jumba la mzee Kasri so akakutana na Rukia akamwambia kama nilishawahi kukuona walizuga kuwa jamaa ni mtunzi wa mashairi ikabidi aambiwe atunge shairi kwenye birthday ya Sitti bint Kasri ...dah nikikumbuka i wish the time could go back....