Tetesi: Waliokuwa wapangaji wa NIC Mikocheni na Masaki wafukuzwa bila kupewa notice

wanabodi.
shirika la bima la taifa limewafurusha bila hata kuwapa notice wapangaji wake huko masaki na mikocheni siku ya alhamisi wiki hii.
Tukio hili lilitokea siku ya alhamisi mchana kuanzia saa 8:00 mchana.
ilivyokuwa.
shirika la bima liliuza nyumba zake kwa PPF huko nyuma. PPF wakawa wanahitaji nyumba zao wapangaji hawa walikuwa wanaenda mahakaman kuweka zuio la kuhamishwa hapo. shirika la bima likawa halipati pesa toka kwao kutokana na kuwepo kwa kesi Y msingi.
MAGUFULI aliitisha kikao cha siri na mkurugenzi wa shirika. na kuwataarifu wafanyakazi wa bima kuwa uhamishwaji ufanyike kwa dharura bila notice wala kuandikwa popote.
walivamiwa na askar wenye siLha za kivita hapo alhamisi.na ni muda ambao mahakama ilikuwa imemaliza shughuli zake.so ilikuwa vigumu kuweka zuio.
wapangaji hawa wakiwemo majudge, wafanyabiashara, watumishi wa umma na watoto wa vigogo wameisoma namba.
polisi walikuwa 46 na yono walikuja na mabounsa pale.
my take.uvunjifu huu wa haki za kiraia ni mpaka lini jamani?
Mambo yote 26/4
 
wapangaji hawa wakiwemo majudge, wafanyabiashara, watumishi wa umma na watoto wa vigogo wameisoma namba.
my take.uvunjifu huu wa haki za kiraia ni mpaka lini jamani?
Nionavyo mimi kwa kiasi kikubwa walioguswa
ni wale walioimba wimbo wetu wa kusoma namba.
na wasimamizi au waendeshaji wa mahakama.
mimi nadhani hapo maji yamepita kwenye mkondo
wake wala hapo hakuna uonevu.
 
wewe nani? au kwakuwa u ashinda jf kupika majungu? kuzaliwa dakika na kufa hivyo hivyo! nani alikuwa na nguvu zaire kama mobutu ? yupo wapi mobutu?
kila nafsi itaonja mauti ndugu acha vitisho
Ana vitisho vya kishamba. Atakua msukuma huyo
 
Nawatakia safari njema, umesema ma judge, watoto wa vigogo hawa wote wanaweza kujenga kama hawaja jenga ni kutijitambua na kula bata mjiji hapo
 
Yaani walikuwa wakiishi bure? Inawezekana hiyo? Pengine imenipita pembeni, sijaona sehemu muanzisha uzi anasema walikuwa wakiishi bure.
 
wanabodi.
shirika la bima la taifa limewafurusha bila hata kuwapa notice wapangaji wake huko masaki na mikocheni siku ya alhamisi wiki hii.
Tukio hili lilitokea siku ya alhamisi mchana kuanzia saa 8:00 mchana.
ilivyokuwa.
shirika la bima liliuza nyumba zake kwa PPF huko nyuma. PPF wakawa wanahitaji nyumba zao wapangaji hawa walikuwa wanaenda mahakaman kuweka zuio la kuhamishwa hapo. shirika la bima likawa halipati pesa toka kwao kutokana na kuwepo kwa kesi Y msingi.
MAGUFULI aliitisha kikao cha siri na mkurugenzi wa shirika. na kuwataarifu wafanyakazi wa bima kuwa uhamishwaji ufanyike kwa dharura bila notice wala kuandikwa popote.
walivamiwa na askar wenye siLha za kivita hapo alhamisi.na ni muda ambao mahakama ilikuwa imemaliza shughuli zake.so ilikuwa vigumu kuweka zuio.
wapangaji hawa wakiwemo majudge, wafanyabiashara, watumishi wa umma na watoto wa vigogo wameisoma namba.
polisi walikuwa 46 na yono walikuja na mabounsa pale.
my take.uvunjifu huu wa haki za kiraia ni mpaka lini jamani?


Hao wanao uwezo .....wahamie kwenye nyumba zao tu maana hamna namna nyingine.
 
wanabodi.

Shirika la Bima la Taifa limewafurusha bila hata kuwapa notice wapangaji wake huko masaki na mikocheni siku ya alhamisi wiki hii.

Tukio hili lilitokea siku ya alhamisi mchana kuanzia saa 8:00 mchana.
ilivyokuwa.

Shirika la Bima liliuza nyumba zake kwa PPF huko nyuma. PPF wakawa wanahitaji nyumba zao wapangaji hawa walikuwa wanaenda mahakaman kuweka zuio la kuhamishwa hapo.

Shirika la bima likawa halipati pesa toka kwao kutokana na kuwepo kwa kesi ya msingi.

Rais Magufuli aliitisha kikao cha siri na mkurugenzi wa shirika na kuwataarifu wafanyakazi wa bima kuwa uhamishwaji ufanyike kwa dharura bila notice wala kuandikwa popote.

Walivamiwa na askari wenye silaha za kivita hapo Alhamisi na ni muda ambao mahakama ilikuwa imemaliza shughuli zake.So ilikuwa vigumu kuweka zuio.
wapangaji hawa wakiwemo majaji, wafanyabiashara, watumishi wa umma na watoto wa vigogo wameisoma namba.

Polisi walikuwa 46 na Yono walikuja na mabaounsa pale.

My take: Uvunjifu huu wa haki za kiraia ni mpaka lini jamani?
Ufipa siku hizi hamnazo
 
[QUOTairi bovu, post: 26264336, member: 456521"]wanabodi.

Shirika la Bima la Taifa limewafurusha bila hata kuwapa notice wapangaji wake huko masaki na mikocheni siku ya alhamisi wiki hii.

Tukio hili lilitokea siku ya alhamisi mchana kuanzia saa 8:00 mchana.
ilivyokuwa.

Shirika la Bima liliuza nyumba zake kwa PPF huko nyuma. PPF wakawa wanahitaji nyumba zao wapangaji hawa walikuwa wanaenda mahakaman kuweka zuio la kuhamishwa hapo.

Shirika la bima likawa halipati pesa toka kwao kutokana na kuwepo kwa kesi ya msingi.

Rais Magufuli aliitisha kikao cha siri na mkurugenzi wa shirika na kuwataarifu wafanyakazi wa bima kuwa uhamishwaji ufanyike kwa dharura bila notice wala kuandikwa popote.

Walivamiwa na askari wenye silaha za kivita hapo Alhamisi na ni muda ambao mahakama ilikuwa imemaliza shughuli zake.So ilikuwa vigumu kuweka zuio.
wapangaji hawa wakiwemo majaji, wafanyabiashara, watumishi wa umma na watoto wa vigogo wameisoma namba.

Polisi walikuwa 46 na Yono walikuja na mabaounsa pale.

My take: Uvunjifu huu wa haki za kiraia ni mpaka lini jamani?[/QUOTE]
Hiyo mytake yako ni ya kishabiki na kishamba zaidi: mwenye nyumba kauza nyumba nawewe mpangaji hutaki kuhama . Unamlaumu nani
 
Malalamiko mengine ni ya kipuuzi sana unawezaje kung'ang'ania nyumba isiyo yako tena kwa kukimbilia kuweka zuio mahakamani,watu kama hao ndio wanapigwagwa vipapai uswahilini
Sasa hiyo mahakama nayo kwanini iweke zuio kama imeona mpangaji hana hoja za kisheria?

Tumia akili unapoweka rekodi kimaandishi!
 
Back
Top Bottom