JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,398
- 9,681
Kuna mambo yanafikilisha sana katika nchi za Kiafrika.
Tunaendelea kuangalia kwa makini namna ambavyo kuna uchochoro wa kuliwa kwa mali za umma na watu binafsi unavyoendelea kutengenezwa.
Tumeona kuanzia wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki, sasa hivi kuna watu walitaifishwa mali za umma walizo kuwa wamekwapua nao wanatanua tu sasa hivi. Moja wapo ikiwa wale wa ECROW, Wanataka mali zao.
Wakati wa JPM walirudisha pesa walizo kuwa wamekwapua sasa hivi wanadai walinyang'anywa.
Awamu ya SITA ni piga nipige. Tunaendelea kufuatilia hadi utoroshaji wa madini, wanyama na mali asili kwa ujumla. hapo hadao tutaleta ushahidi hapa.
Kisingizio chao kikubwa ni kwamba walinyimwa haki.
Walamba asali wataiona chungu hapo badae.
Tunaendelea kuangalia kwa makini namna ambavyo kuna uchochoro wa kuliwa kwa mali za umma na watu binafsi unavyoendelea kutengenezwa.
Tumeona kuanzia wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki, sasa hivi kuna watu walitaifishwa mali za umma walizo kuwa wamekwapua nao wanatanua tu sasa hivi. Moja wapo ikiwa wale wa ECROW, Wanataka mali zao.
Wakati wa JPM walirudisha pesa walizo kuwa wamekwapua sasa hivi wanadai walinyang'anywa.
Awamu ya SITA ni piga nipige. Tunaendelea kufuatilia hadi utoroshaji wa madini, wanyama na mali asili kwa ujumla. hapo hadao tutaleta ushahidi hapa.
Kisingizio chao kikubwa ni kwamba walinyimwa haki.
Walamba asali wataiona chungu hapo badae.