Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Nimepokea text kutoka kwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Makumira,
'umesikia maandamano?'
Nikamjibu, 'ndio nasoma kwenye JF, tatizo ni nini?'
Akanijibu, 'mikopo na waliogoma wote ni Chadema'
Nikamuuliza, umejuaje ni cdm? Walikuwa na sare na bendera za cdm? Ina maana hao wengine ambao hawajagoma ni CCM na CUF?'
Akanijibu 'hiyo ndio habari nakupa. Am in gud position to know'
I lost it. Nikajikuta nimemjibu,
'unanipa hiyo habari ili nini? Ingekuwa rahisi umpe Vice Chancellor au Polisi'
My take,
Already some mean minded people and vibaraka wa system are playing the mgomo down as a CDM affair instead of getting down to the issues!
Whoever is on the ground should give us unbiased account of the events leading to the mgomo!
At the end, the is nothing wrong with participants being CDM followers. They are more enlightened and ready to stand up for their rights!!
I just lost it for a minute nilipomfikiria huyo mwanafunzi! Badala ya kuunga mkono jitihada za kudai haki yao anakimbilia 'hao ni CDM'!
'umesikia maandamano?'
Nikamjibu, 'ndio nasoma kwenye JF, tatizo ni nini?'
Akanijibu, 'mikopo na waliogoma wote ni Chadema'
Nikamuuliza, umejuaje ni cdm? Walikuwa na sare na bendera za cdm? Ina maana hao wengine ambao hawajagoma ni CCM na CUF?'
Akanijibu 'hiyo ndio habari nakupa. Am in gud position to know'
I lost it. Nikajikuta nimemjibu,
'unanipa hiyo habari ili nini? Ingekuwa rahisi umpe Vice Chancellor au Polisi'
My take,
Already some mean minded people and vibaraka wa system are playing the mgomo down as a CDM affair instead of getting down to the issues!
Whoever is on the ground should give us unbiased account of the events leading to the mgomo!
At the end, the is nothing wrong with participants being CDM followers. They are more enlightened and ready to stand up for their rights!!
I just lost it for a minute nilipomfikiria huyo mwanafunzi! Badala ya kuunga mkono jitihada za kudai haki yao anakimbilia 'hao ni CDM'!