Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Umenichekesha sana, ila sijaelewa Gaucho Minjino ni nani?!
PK.jpg
 
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Kwa navoijua nchi hii ya CCM nothing can happen mzee
 
Msiojua, kikao cha KK juzi kilikuwa na lengo la kukitoa chama ktk mtanziko. Kuwasimamisha uongozi wateule 19 ni wa kimkakati kutuliza sintofahamu ya wanachama kwa kosa walilofanya kupeleka majina NEC. Kama wateule hawa wataoma msamaha ujue ndio lengo la kikao kile. Kuonyesha kuwa sio viongozi waliopeleka majina na kuwa watuhumiwa wameomba msamaha sasa tuwasamehe. Chadema haijawahi kufukuza mwanachama kisha kumpa siku 30 atafakari, wamefanyamhivi safari hii kuiondoa Chadema ktk Aibu ya kula matapishi yao ya sitaki nataka. Ukweli wanavihitaji viti hivi lakini kwa uungwaji mkono na wanachama. Walikosea na njia ya kutokea ilikuwa lazima iwe hivi. Hawa wote ktk siku 30 walizopewa kimkakati wataomba msamaha na maisha yataendelea huku wanachama wakipiga makofi. Ukitaka kulijua hili jiulze kwa nini mbunge wa Mpanda hajachukuliwa hatua kwa kukiuka maagizo ya chama kutotambua matokeo? Jiulize mke wa Bananga (Kampeni meneja wa Lissu) inawezekanaje aende kuapishwa Dodoma bila mume wake kujua wala asiripotie uongozi mipango hii.
Kwanza nikukatalie kwamba CHADEMA haikupeleka majina tume, Utaratibu wa miaka yote majina hayo lazima yateuliwe na KK ambayo haikupitisha majina then ndio yaende tume.

Hivyo maelezo yako yote yanakosa mashiko
 
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Source, futa uzi wakichonganishi
 
Huyu dada nilikuwa namkubali sana aisee... Lakini kaniangusha sana leo Halima wakuiogopa chadema kwamba katishwa hawezi kuhudhuria muito alioitwa na wenzake?? Yani kwamba chadema wanaweza kumdhuru Halima na wenzio?
 
Suala la Muhimu ni wao kuendelea Kuwa Wabunge bila kujali WAMEOMBA msamaha au wamekosana au wamepishana KAULI au wameungana au wameigeuka CCM!

Cha msingi ni wao kuendelea Kuwa Wabunge
 
WAACHENIII MAKAMANDA WALE, WAKO WANAANDAA NONDO ZA KUWACHAPA NA UTAPELI WENU KWENYE KIGENGE CHENUU. SASA NAONA MUNAWEWESEKA BILA USINGIZIIII. MUMEWATIMUA KIKATILI WAMAMA HAO HATA BILA KUWASIKILIZA HUKU MKIWATISHIA VYA KUTOSHA MKIONGOZWA NA YULE TAPELI WAUBERIGIJI. SASA TULIENIII WAWAPE ZA USO MDA SI MREFU
Ndiyo, wakaingia hadi mageleza wakamchomoa kamanda binti, wakamwapisha kisha wakamtimuwa!!!...wabaya sana yahani. Wakamshinikiza na DPP atangaze kuwa hana nia ya kuendelea na kesi ya......
 
Kwanza nikukatalie kwamba CHADEMA haikupeleka majina tume, Utaratibu wa miaka yote majina hayo lazima yateuliwe na KK ambayo haikupitisha majina then ndio yaende tume.

Hivyo maelezo yako yote yanakosa mashiko
Mbowe mwenyewe amekiri kuna viongozi wamefoji na kupeleka majina. Taarifa ya tume imesema Katibu mkuu msaidizi ndiye alipeleka nyaraka zikiwa na saini ya Katibu Mkuu. Cha ajabu kikao cha juzi hakijasema lolote kwa waliofanya "uhuni" huu. Unadhani ni kwa nini.
 
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
kila chama kina katiba yake, Membe alivyofutiwa uanachama ccm ilikuwa ni kulingana na katiba ya ccm.

kwanini rais awape kazi kwa sababu ni wanawake?
ufanisi wa mtu auangalii jinsia yake
 
Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!

Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Upinzani ungekuwa haujakomaa Magufuli asingefanya uhuni alioufanya kwenye huo wanaoita uchaguzi.

Haiingii akilini Magufuli anavyowaogopa wapinzani, yeye kila siku ni kupambana na wapinzani tu hadi miaka mitano imepita hakuna chochote cha maana alichokifanya. Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom