wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Kata....kitambi.
Kata....kitambi.
Umenichekesha sana, ila sijaelewa Gaucho Minjino ni nani?!
Kwa navoijua nchi hii ya CCM nothing can happen mzeeHabari wadau. Yajayo yanafurahisha.
Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.
Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.
Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Kwanza nikukatalie kwamba CHADEMA haikupeleka majina tume, Utaratibu wa miaka yote majina hayo lazima yateuliwe na KK ambayo haikupitisha majina then ndio yaende tume.Msiojua, kikao cha KK juzi kilikuwa na lengo la kukitoa chama ktk mtanziko. Kuwasimamisha uongozi wateule 19 ni wa kimkakati kutuliza sintofahamu ya wanachama kwa kosa walilofanya kupeleka majina NEC. Kama wateule hawa wataoma msamaha ujue ndio lengo la kikao kile. Kuonyesha kuwa sio viongozi waliopeleka majina na kuwa watuhumiwa wameomba msamaha sasa tuwasamehe. Chadema haijawahi kufukuza mwanachama kisha kumpa siku 30 atafakari, wamefanyamhivi safari hii kuiondoa Chadema ktk Aibu ya kula matapishi yao ya sitaki nataka. Ukweli wanavihitaji viti hivi lakini kwa uungwaji mkono na wanachama. Walikosea na njia ya kutokea ilikuwa lazima iwe hivi. Hawa wote ktk siku 30 walizopewa kimkakati wataomba msamaha na maisha yataendelea huku wanachama wakipiga makofi. Ukitaka kulijua hili jiulze kwa nini mbunge wa Mpanda hajachukuliwa hatua kwa kukiuka maagizo ya chama kutotambua matokeo? Jiulize mke wa Bananga (Kampeni meneja wa Lissu) inawezekanaje aende kuapishwa Dodoma bila mume wake kujua wala asiripotie uongozi mipango hii.
Watu hawajui kuwa Chadema ipo kwenye mioyo ya watu na akili za watu,ni km Imani,kuua Imani ni kitu kisichowezekana kwasababu hakionekani Kwa macho haya na wala hakigusiki.Hivyo ni kazi bure kugangaika kubomoa Upinzani.Chadema haitakufa kamwe wanaodhani itakufa watakufa wao
Source, futa uzi wakichonganishiHabari wadau. Yajayo yanafurahisha.
Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.
Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.
Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Haaaaa haaaaa. Mnatia huruma wazeee kukandamiza haki za wanawakeeWao sio wa kwanza kutema nondo hilo lipo linategemewa
Mimi binafsi Halima ameniliza sana, nilimwamini sana kupitiliza. Nilimpa heshima kubwa moyoni mwangu.Hatukutegemea haya kwa Halima Mdee!!!
Ruhusa ya viti maalumu inatolewa na mbowe.Halima Mdee anasema na nishukuru mwenyekiti wangu wa chama kwa kuturuhusu,... Aisee..!
Ndiyo, wakaingia hadi mageleza wakamchomoa kamanda binti, wakamwapisha kisha wakamtimuwa!!!...wabaya sana yahani. Wakamshinikiza na DPP atangaze kuwa hana nia ya kuendelea na kesi ya......WAACHENIII MAKAMANDA WALE, WAKO WANAANDAA NONDO ZA KUWACHAPA NA UTAPELI WENU KWENYE KIGENGE CHENUU. SASA NAONA MUNAWEWESEKA BILA USINGIZIIII. MUMEWATIMUA KIKATILI WAMAMA HAO HATA BILA KUWASIKILIZA HUKU MKIWATISHIA VYA KUTOSHA MKIONGOZWA NA YULE TAPELI WAUBERIGIJI. SASA TULIENIII WAWAPE ZA USO MDA SI MREFU
Mbowe mwenyewe amekiri kuna viongozi wamefoji na kupeleka majina. Taarifa ya tume imesema Katibu mkuu msaidizi ndiye alipeleka nyaraka zikiwa na saini ya Katibu Mkuu. Cha ajabu kikao cha juzi hakijasema lolote kwa waliofanya "uhuni" huu. Unadhani ni kwa nini.Kwanza nikukatalie kwamba CHADEMA haikupeleka majina tume, Utaratibu wa miaka yote majina hayo lazima yateuliwe na KK ambayo haikupitisha majina then ndio yaende tume.
Hivyo maelezo yako yote yanakosa mashiko
kila chama kina katiba yake, Membe alivyofutiwa uanachama ccm ilikuwa ni kulingana na katiba ya ccm.Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Kila siku lazima hamsage sasa unategemea uyo demu wake kupendezaIla huyu Bikidude anamfuja sana huyu demu wake yaani kachakaa kama choo cha magunia.
Joash mwana wa Naasaa riii
Suala muhimu ni kuombea hizo trillions kadhaa za mabeberu sisifike mikononi mwa manyang'au na wasaliti.Suala la Muhimu ni wao kuendelea Kuwa Wabunge bila kujali WAMEOMBA msamaha au wamekosana au wamepishana KAULI au wameungana au wameigeuka CCM!
Cha msingi ni wao kuendelea Kuwa Wabunge
Upinzani ungekuwa haujakomaa Magufuli asingefanya uhuni alioufanya kwenye huo wanaoita uchaguzi.Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!
Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!