Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 38,107
- 47,114
Kuna mtu juzi kaniambia, huenda 2050,Mikoa iliyo vizuri kiuchumi ikarudi nyuma kama Singida. Nilimwuliza ni kwa nini, akanjibu anayepanga [ Waziri wa Mipango] anatoka Singida. Na anayetoa fedhs za Mipango hiyo[ Waziri wa Fedha] naye anatoka Singida. Tena wote ni Wanyira. Niliishia kucheka.