NANGA WA DEPO
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 917
- 1,198
Wadau kwanza hongereni kwa kuchaguliwa.
Kwa wale mnaoendlea kuapply nawatakia kila la kheri mfanikiwe. Na wale tuliochagulia certificate/ diploma kozi za afya, pamoja na wale ambao mlishawahi kusoma COTC-Mvumi karibuni tupeane abc mbili tatu na ushauri mbalmbali kwa sisi tunaokwenda kuanza..
Karibuni!!
Kwa wale mnaoendlea kuapply nawatakia kila la kheri mfanikiwe. Na wale tuliochagulia certificate/ diploma kozi za afya, pamoja na wale ambao mlishawahi kusoma COTC-Mvumi karibuni tupeane abc mbili tatu na ushauri mbalmbali kwa sisi tunaokwenda kuanza..
Karibuni!!