Hii ni falsafa inayoonekana kumea kila siku miongoni mwa vijana wa kitanzania.
Falsafa kama hiyo ndiyo iliyo wagharimu wabunge wengi mwaka 2005 ,wakati mkapa anaondoka madarakani aliondoka na wabunge wengi walioingia mwaka 1995 wakati mkapa anaingia.
Baadhi ya wabunge walioondoka na mkapa k.v gama, dr. thadeus luoga, pr.mbilinyi, nk.
Mwaka 2005 ndipo watu waliposhuhudia sura mpya nyingi zikiingia bungeni.
Tutegemee mwaka 2015 sura mpya nyingi kuingia bungeni hasa kutokana na kuongezeka kwa uelewa miongoni mwa wananchi kwamba kila mtu anaouwezo wa kuwa mbunge, mbunge hachangii chochote katika kuendesha maisha binafsi ya mtu na bidii yako ndiyo itakayo kuwezesha kupata mkate wa siku, na wengine wanaamini kwamba maisha yanaweza kwenda tu bila hata mbunge , kwani wabunge wengi ni wasanii tu, hivyo wakikupa miaka kumi kama hujashiba basi wanampa na mwingine akale
Kuna wabunge walio ulizwa maswali majimboni mwao mwaka 2005, tumekupa miaka 10 bado hujatosheka na huna shukrani je umesahau nini bungeni
Falsafa kama hiyo ndiyo iliyo wagharimu wabunge wengi mwaka 2005 ,wakati mkapa anaondoka madarakani aliondoka na wabunge wengi walioingia mwaka 1995 wakati mkapa anaingia.
Baadhi ya wabunge walioondoka na mkapa k.v gama, dr. thadeus luoga, pr.mbilinyi, nk.
Mwaka 2005 ndipo watu waliposhuhudia sura mpya nyingi zikiingia bungeni.
Tutegemee mwaka 2015 sura mpya nyingi kuingia bungeni hasa kutokana na kuongezeka kwa uelewa miongoni mwa wananchi kwamba kila mtu anaouwezo wa kuwa mbunge, mbunge hachangii chochote katika kuendesha maisha binafsi ya mtu na bidii yako ndiyo itakayo kuwezesha kupata mkate wa siku, na wengine wanaamini kwamba maisha yanaweza kwenda tu bila hata mbunge , kwani wabunge wengi ni wasanii tu, hivyo wakikupa miaka kumi kama hujashiba basi wanampa na mwingine akale
Kuna wabunge walio ulizwa maswali majimboni mwao mwaka 2005, tumekupa miaka 10 bado hujatosheka na huna shukrani je umesahau nini bungeni