Walinzi wa Museveni & Gaddafi watwangana vikali- Karume Asukumwa!!!

kitu kile kile, kishaju alizungumzia kuvunjika na kuwepo kwa kidonda!! utawezaje kuzungumzia fx bila kuwepo kwa fx???.....ndio maana nasema criticism yako ya kijinga!!! na kwa taarifa yako sio lazima mfupa utokeza, ila ile access tu na chances kubwa za infection(s) kwenye fractured area inawezatosha kusema ni cpd fx............unaweza kuendelea kubisha, kwasababu upo negative sana!! rudia kusoma nini kishaju aliandika. watu wengine bwana, kuna kilaza mwenzako(mtu mzima) huko juu alibisha kwamba cpd fracture kwa jina lingine sio open fracture...mnatia aibu!!!.

Ndio, nitaendelea kubisha kwa sababu bado unazidi kupotosha.
Panaweza kuwepo vidonda kwenye ngozi au hata nyama; na pakawepo na fracture ambayo sio sababu ya kuwepo hivyo vidonda.

Hayo mengine ya ujinga na ukilaza unayajua wewe, sina haja ya kuyajibu.
 
Gadaffi, Museveni's endless guard fights
RODNEY MUHUMUZA & GRACE MATSIKO
KAMPALA

ThE Presidential Guard Brigade and Col. Muammar Gadaffi’s security detail were involved in a string of supremacy clashes during every public event that the Libyan leader attended, it can now be revealed.

During the clashes, security officials on both sides just fell short of pulling guns on each other, but both presidents seemed to be aware of the goings-on between their security outfits.

Matters came to a head when, during the opening of the Gadaffi National Mosque on Wednesday, President Museveni was pinned against the wall as his men fought with the Libyans to control an entrance to the mosque.

For about two minutes, a shocked Mr Museveni looked on as the security officers exchanged blows and threw each other to the ground.
The ensuing melee caught some reporters and diplomats, and for a moment it was difficult to tell who was in charge.

Mr Museveni managed to enter, but it was minutes after Col. Gadaffi had made his entry.
Earlier, at Nakivubo War Memorial Stadium, where Col. Gadaffi was a chief celebrant at a function to commemorate the birth of Prophet Muhammad, his security detail and the PGB fought to determine who got close to the presidents.
cover_45_thumb.jpg

(Note how many PGB personnel are needed to control only one Gaddafi security)

The Ugandans and the Libyans disagreed on risk-assessment and type of guns to be carried, according to a PGB officer who was involved in the scuffles. The officer, who did not want to be named because of the sensitivity of his job, said the Libyans were control freaks.

At the stadium, as at the mosque, the Ugandans appeared to get the better of the Libyans, who spoke in Arabic and often used sign language to communicate.

Security and protocol officers, speaking on condition of anonymity because they are not authorised to talk to journalists, said Col. Gadaffi came with close to 200 security guards, most of them armed. From Sunday afternoon, when Col. Gadaffi arrived, there were early signs of the scuffles to come when PGB officers stopped some travelling Libyans from entering State House, causing a stampede at the entrance.

That stampede was to be replicated in at least three other places, often in full view of photographers desperate to take snap shots of the presidents.
PGB spokesman Edison Kwesiga said there was no fallout from the clashes, but failed to explain why Col. Gadaffi failed to attend the proposed unveiling of a war monument in Katonga, a ceremony that President Museveni had hoped his Libyan counterpart would honour.

Col. Gadaffi left on Thursday morning, around the time he had been expected to be at the Katonga event, prematurely ending a visit that most Ugandans will remember for the traffic disruption and the resultant jams.

News of Col. Gadaffi’s departure was broken to ministers and senior army officers who had already converged in Mpigi to attend the event, district officials said.
Col. Gadaffi, who in the past travelled with an all-female security guards called the Amazonian Guard, was in Uganda to close the Afro-Arab Youth Festival and open the Gadaffi National Mosque, his gift to the Muslims of Uganda.
But his men, who always surrounded him as human shields whenever he was in public view, were apparently untrusting of the PGB, and the attendant uneasiness often gave way to clashes.

Officials on both sides disagreed on who was supposed to stand at the podiums where the heads of state were speaking, or who should stand behind which president.
“The Libyans are sensitive about their president’s security, and it has been like that since Sunday [March 16] when they arrived,” said one protocol officer.
In some cases, as the Libyan officers struggled to take control of security during events, blows were almost exchanged as PGB officers shouted on top of their voices that the Libyans should back off.

The Libyans, though they spoke some English, preferred to reply in Arabic, deliberately confusing the Ugandans. To avoid a confrontation, it was agreed that the Ugandans and the Libyans deploy their security in equal numbers around their presidents. But that was before the mosque melee.

And there was more drama to come when, after opening the mosque, Col. Gadaffi travelled in one of the heavy duty Land Cruisers instead of his green limousine.
Six of his guards, acting as human shields, jumped on the Land Cruiser’s windows to block hundreds of people from having a clear view of the Libyan leader as his convoy left the complex.

Most countries, according to a knowledgeable source, offer not more than 10 guards for a visiting head of state. But Capt. Kwesiga said: “A country can forward a request that it is bringing in a certain number of security personnel. Once the number is agreed upon, they [can] come, so it cannot be that there must be a certain number.”
A 30-seater Libyan jet arrived at Entebbe International Airport on March 6 carrying an advance team comprising security officers and secretaries.

Some Libyan guards were flown in on an Antonov aircraft on Saturday and more touched down at 2.30pm on Sunday, the day of Col. Gadaffi’s arrival. Sources said that Col. Gadaffi came with a fleet of 30 vehicles, airlifted by Libyan military aircraft.
They included three green armour-plated presidential limousines, two high-tech vans fitted with electronic jamming devices, two mobile communication stations, a repeater station based at the airport, a mobile mini-hospital with five doctors, three Outside Broadcasting vans belonging to Jamahiriya Broadcasting Corporation, a state-run media agency, and heavy duty Land Cruisers for guards and aides.

On Monday the guards, equipped with Uganda maps and Global Positioning System (GPS) receivers, took a test-drive through the city towards the Gayaza Road round-about and made a U-turn through the potholed Mulago Road before retreating to State House, Nakasero.

Similar drills were conducted in Entebbe and Munyonyo. Other sources claimed that Col. Gadaffi came with a double that confused the PGB and protocol personnel on arrival at Entebbe and the Commonwealth Resort in Munyonyo.
Although Daily Monitor could not independently verify the claims of Col. Gadaffi’s look-alike on the entourage, it is well known that high profile individuals adopt doubles to enhance their security.

Capt. Kwesiga insisted that the PGB and the Libyan counterparts worked well together. The PGB, he said, never showed signs of an inferiority complex.
“That is a personal observation. We worked together. Remember this is not the first time we are working together--we have worked together before,” he said.
“For one to say [that] President Gadaffi’s guards wanted to take over the airport and State House, do you know how many soldiers [that would take]?”

Col. Gadaffi’s foreign visits have mostly been controversial. During a visit to Nigeria in 2006, he threatened to return home after the Nigerian authorities refused to allow all his 200 guards from entering the country with arms.

“Rarely can a host have been so happy to see the back of a guest as President Sarkozy will be today when Muammar Gaddafi and his caravan of 400 followers finally leave Paris,” reported the UK’s The Times in an article published after the Libyan leader’s visit to France last year.

“For the French President and many Parisians, the five-day official visit by the Libyan leader has seemed endless.” The article, published on December 15, 2007, was titled “Adieu, Col Muammar Gadaffi, a tricky guest.”

Mr Isaac Magoola, a Kampala political scientist, claimed that Col. Gadaffi’s conduct is driven by huge resources, long stay in power and his philosophy.
“The huge resources at his disposal give him leverage over other African presidents…he who pays the piper calls the tune,” Mr Magoola said.
“His long stay in power has made him insensitive to other people…He is more successful in Africa because we are poor. Fidel Castro of Cuba would have been like Gadaffi but his country is poor.”
 
........haya ndio maana mnaua watu kila siku pale muhimbili, kwa hiyo elimu yenu ya "simbi" na mikoba!!.vidonda vinavyozungumziwa hapa ni vya fracture mkuu!! ndio maana nikasema ulikurupuka.........

.......haya ndio maana mnaua watu kila siku(?) pale muhimbili, kwa hiyo elimu yenu ya "simbi" na mikoba."

Inasikitisha kwa mtu makini, asiyekuwa kilaza kama wewe kuandika sentensi potofu kama hiyo!

Kwanza nani aliyekwambia kuwa tumesoma Muhimbili? Na ni nani aliyekwambia kuwa Muhimbili wagonjwa wanauliwa kila siku kwa sababu ya elimu wanayoipata wataalaam wa hapo? Ni utafiti upi ulioufanya kuwa na uhakika kuwa wataalam ambao hawakusoma Muhimbili hawafanyi makosa yanayoua hao watu wanaouliwa kila siku?

Unao uhakika upi kuhusu elimu na sio mfumo wa utendaji hapo Muhimbili ndio sababu ya makosa?

Umezoeshwa mno maswali ya 'multiple choice' kiasi kwamba huwezi kuchanganua maana na kueleza jambo ili mtu asiyekuwa na ufahamu wa fani hiyo aelewe vizuri unachokieleza:

Soma tena maelezo aliyoyatoa Kishaju: "compound Fractures" ina maana kwamba mbali na fracture kunakuwepo pia na kidonda..... kama kwenye ngozi......

Panaweza kuwepo na fracture, na pakawepo na kidonda kwenye ngozi ambacho hakikusababishwa na huo mvunjiko wa mfupa, na huwezi kulazimisha hii iwe 'compound fracture' hata huko kwenu. Kama huwezi kuona tofauti hiyo, then I was wrong to think that you appeared to be smarter than I had thought!
 
"Most countries, according to a knowledgeable source, offer not more than 10 guards for a visiting head of state. But Capt. Kwesiga said: “A country can forward a request that it is bringing in a certain number of security personnel. Once the number is agreed upon, they [can] come, so it cannot be that there must be a certain number.”"

nadhani ni Pope (Wa humu JF) alisema haya wakati fulani...kuna mtu alibisha. Please yourself.
 
Hapana, mimi nasema 'hayupo sahihi kabisa.' Kuwepo na kidonda kwenye ngozi hakuifanyi 'definition' ya 'compound fracture' kuwa sahihi, hasa kwa mtu asiyekuwa na ufahamu na jambo hilo.
Ni mhimu pawepo na kuvunjika mfupa, na matokeo ya mfupa huo kujitokeza kwenye ngozi ndio kunaifanya hiyo 'fracture' kuwa 'compound.'

More negative personality is vivid in your statement.

Discussion ya compound fracture iende "JF Doctor"

ABBONE.GIF

A fracture in which broken bone fragments lacerate soft tissue and protrude through an open wound in the skin. This is why its sometimes referred to as open fracture.

wikipedia also says this:
Open Fracture- A fracture when the bone is in contact with air either by piercing the skin or by severe tissue injury.
 
Mbalamwezi,
naamini huyu jamaa hakuanza leo kufanya hivi vituko. Lakini kwa vile tunapenda mno dezo hata kama ni makombo tuko tayari kukubali mnyanyaso wa aina yeyote kwa ajili ya hizo dezo! Kwa nini kabla ya kufika yasifanyike makubaliano ya masuala yote ya usalama? Pindi atakapoonekana kuyakiuka (kuja na walinzi kuliko makubaliano n.k), safari ifutwe! Pengine akifanyiwa hivyo atashika adabu.
 
Mbalamwezi,
naamini huyu jamaa hakuanza leo kufanya hivi vituko. Lakini kwa vile tunapenda mno dezo hata kama ni makombo tuko tayari kukubali mnyanyaso wa aina yeyote kwa ajili ya hizo dezo! Kwa nini kabla ya kufika yasifanyike makubaliano ya masuala yote ya usalama? Pindi atakapoonekana kuyakiuka (kuja na walinzi kuliko makubaliano n.k), safari ifutwe! Pengine akifanyiwa hivyo atashika adabu.

Fundi,

ingawa inaonyesha kulikuwa na makubaliano ya mambo ya kiusalama,arrogance ya WaLibbi ikawafanya walinzi wawazuie wenyeji mfano kuingia msikitini na uwanjani...hii inatokea wapi? kiutaalam, Huwezi kufanya ulinzi effective bila locals. otherwise risk ya kuwabagua Waganda ilikuwa kubwa kuliko ya wakifanya Libbi peke yao.

Nadhani jamaa amekuwa dissapointed kuwa anamihela yote hiyo lakini respect ktk AU hajaipata akilinganisha na US au nchi nyingine.
 
Kati ya mambo ambayo ameyaacha yakiwa ni ngumzo kubwa kwa wananchi wa Uganda wakati wa ziara yake ambayo iliishia siku ya alhamisi badala ya siku ya ijumaa kama ilivyokuwa imepangwa ni pamoja na hili la kusema kuwa Biblia iliyopo sasa ni forged.

Wananchi wengi wa Uganda wamekutwa na butwaa haswa kutokana na comment hiyo ambayo aliitoa siku ya jumatano wiki iliyopita akiwa anaufungua msikiti alioujenga nchini Uganda .

Kituko kingine ni pale alipowashangaza wakina Museven na viongozi wengine wa kiafrika waliokuwa wamealikwa pale alipoondoka bila hata kumuaga mwenyeji wake siku ya alhamisi , ilikuwa ni siku ya kwenda kuweka jiwe la msingi kwenye makaburi ya wanajeshi wa Libya waliokuwa wamekufa wakati wa vita vya Idd Amin.

Huku mwenyeji wake na wageni waalikwa wakiwa wanamsubiri afike kuweka jiwa hilo mara wakapata taarifa ya kuwa yupo airport na anaondoka ,hilo limeiacha Uganda kwenye kizaz kinene sana .

Kubwa jingine alilolifanya wakati wa ziara yake ni pale alipoondoka majira ya saa nane usiku kutoka ikulu na kwenda hotel inayoitwa Serena siku ya jumanne na bila wenyeji wake na haswa vyombo vya ulinzi kujua nini kinaendelea na alikuwa hana magari bali alienda kwa miguu na walinzi wake wachache tuu.

Kingine ni pale walinzi wake waliposhindwa kuondoka airport siku ya alihamisi baada ya kunywa pombe nyingi na kulewa sana jambo lililomfanya rubani kukataa kuondoa ndege kwa kusema kuwa hawezi kwenda na watu ambao wanatoleana pistol kwenye ndege.

Yapo mengi ,na kubwa zaidi ni pale kwenye hotuba yake aliposema kuwa Museveni hana haja ya kuwa na vipindi vya urais kwani anatakiwa kuwa rais wa maisha wa Uganda.
 
mjadala unanipa raha, hasa kwa wanaouliza kama pana haja ya sisi kumkaribisha huyu jamaa (Gadafi) pia!!! nadhani kabla ya kuendelea ningependa kufahamu je tulikuwa na haja ya kumkaribisha G bush pia? nakumpa mapokezi yasio na kifani kama tutaangalia kwa aliyoyatenda katika dunia, kuendeleza vita vinavyosababisha mauaji ya watu wasio nahatia wakina mama na watoto!!! je ni mangapi mabaya na machafu aliyoyafanya hata katika kipindi cha maandalizi ya kuja kwake, kuwakamata raia wetu na kuwaweka ndani kwa kisingizo cha ugaidi katika maandalizi ya kumpokea hili lilijitokeza wakati wa ziara ya bush,

na kwawale wasioona umuhimu wa msikiti uliojengwa ambao ulikuwa ukizinduliwa je na hayo makanisa yanayofurika kila siku? pana umuhimu wa kuwepo? kwakweli sijaona sababu kwa wale wanaoshutumu ujenzi au uzinduzi wa msikiti, nadhani tatizo ni fujo iliyojitokeza kwa walinzi kutokuelewana na si msikiti uliofunguliwa,

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!!
 
mjadala unanipa raha, hasa kwa wanaouliza kama pana haja ya sisi kumkaribisha huyu jamaa (Gadafi) pia!!! nadhani kabla ya kuendelea ningependa kufahamu je tulikuwa na haja ya kumkaribisha G bush pia? nakumpa mapokezi yasio na kifani kama tutaangalia kwa aliyoyatenda katika dunia, kuendeleza vita vinavyosababisha mauaji ya watu wasio nahatia wakina mama na watoto!!! je ni mangapi mabaya na machafu aliyoyafanya hata katika kipindi cha maandalizi ya kuja kwake, kuwakamata raia wetu na kuwaweka ndani kwa kisingizo cha ugaidi katika maandalizi ya kumpokea hili lilijitokeza wakati wa ziara ya bush,

na kwawale wasioona umuhimu wa msikiti uliojengwa ambao ulikuwa ukizinduliwa je na hayo makanisa yanayofurika kila siku? pana umuhimu wa kuwepo? kwakweli sijaona sababu kwa wale wanaoshutumu ujenzi au uzinduzi wa msikiti, nadhani tatizo ni fujo iliyojitokeza kwa walinzi kutokuelewana na si msikiti uliofunguliwa,

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!!

Walinzi wa George W waliwakwida wenyeji wao? Walinzi wake wamemkamata nani nchini mwetu?

Kuna kitu kinaitwa etiquette ambacho kila mgeni anategemewa kuzifuata na huyu bwana huko ndiko aliko na upungufu. Kama anaweza kukufanyia hivi kwako je kwake itakuwaje.

George W kwa Afrika amekuwa rafiki mzuri. Ni yeye aliyeongeza bajeti ya msaada kwa kontinenti letu kuliko hata huyo kipenzi chetu Bill. George W alipokuwa kwetu lichanganyikana na watu bila matatizo. George W anatusaidia katika vita vyetu dhidi ya Malaria, ugonjwa unaoua kuliko ukimwi. Kwa nini basi tusimkaribishe? Hauwezi kukubaliana na hata rafiki yako katika kila jambo.

Angeenda, akafungua msikiti wake bila hizi tafrani nyingine nisingemlaumu. Ni hizo fujo zinzoonyesha dharau kwa wenyeji wake ndizo zinazoniletea matatizo. Kama waganda wanaona misikiti( au makanisa) ni bora kuliko vyandarua, huo ni uamuzi wao. Sikubaliani, lakini ni haki yao.
 
Kawaida ya waarabu ni ufedhuli na ujeuri hiyo ni silka yao, sidhani kama Gadaffi kajenga huo msikiti kwa nia ya kuuendeleza uislamu bali ni katika kuonesha fahari kama ilivyo kawaida ya jamaa zetu hao. kwa sababu kutoa katika misingi ya kiislamu ni kwamba utowe kwa siri na sio kuutangazia umma au ulimwengu wote ukajua kama alivyofanya yeye.

kitu chengine ambacho kinanishangaza kwa hawa watu misaada ambayo wao naona ni bigdeal ni kujenga misikiti tu, wakati kuna mambo mengi wanaweza kusaidia kama kweli wao ni watu wa msaada. kuna waislamu wengi tu masikini hawana uwezo wa hata kusomesha watoto wao, kuna mayatima lakini sijaona misaada katika channel hiyo.
 
mjadala unanipa raha, hasa kwa wanaouliza kama pana haja ya sisi kumkaribisha huyu jamaa (Gadafi) pia!!! nadhani kabla ya kuendelea ningependa kufahamu je tulikuwa na haja ya kumkaribisha G bush pia? nakumpa mapokezi yasio na kifani kama tutaangalia kwa aliyoyatenda katika dunia, kuendeleza vita vinavyosababisha mauaji ya watu wasio nahatia wakina mama na watoto!!! je ni mangapi mabaya na machafu aliyoyafanya hata katika kipindi cha maandalizi ya kuja kwake, kuwakamata raia wetu na kuwaweka ndani kwa kisingizo cha ugaidi katika maandalizi ya kumpokea hili lilijitokeza wakati wa ziara ya bush,

na kwawale wasioona umuhimu wa msikiti uliojengwa ambao ulikuwa ukizinduliwa je na hayo makanisa yanayofurika kila siku? pana umuhimu wa kuwepo? kwakweli sijaona sababu kwa wale wanaoshutumu ujenzi au uzinduzi wa msikiti, nadhani tatizo ni fujo iliyojitokeza kwa walinzi kutokuelewana na si msikiti uliofunguliwa,

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!!

Je na matamshi ya Gadaffi kwenye Nchi yenye wakristo wengi na yeye akiwa mgeni juu ya Biblia ni sahihi ?
 
Kati ya mambo ambayo ameyaacha yakiwa ni ngumzo kubwa kwa wananchi wa Uganda wakati wa ziara yake ambayo iliishia siku ya alhamisi badala ya siku ya ijumaa kama ilivyokuwa imepangwa ni pamoja na hili la kusema kuwa Biblia iliyopo sasa ni forged.

Wananchi wengi wa Uganda wamekutwa na butwaa haswa kutokana na comment hiyo ambayo aliitoa siku ya jumatano wiki iliyopita akiwa anaufungua msikiti alioujenga nchini Uganda .

Kituko kingine ni pale alipowashangaza wakina Museven na viongozi wengine wa kiafrika waliokuwa wamealikwa pale alipoondoka bila hata kumuaga mwenyeji wake siku ya alhamisi , ilikuwa ni siku ya kwenda kuweka jiwe la msingi kwenye makaburi ya wanajeshi wa Libya waliokuwa wamekufa wakati wa vita vya Idd Amin.

Huku mwenyeji wake na wageni waalikwa wakiwa wanamsubiri afike kuweka jiwa hilo mara wakapata taarifa ya kuwa yupo airport na anaondoka ,hilo limeiacha Uganda kwenye kizaz kinene sana .

Kubwa jingine alilolifanya wakati wa ziara yake ni pale alipoondoka majira ya saa nane usiku kutoka ikulu na kwenda hotel inayoitwa Serena siku ya jumanne na bila wenyeji wake na haswa vyombo vya ulinzi kujua nini kinaendelea na alikuwa hana magari bali alienda kwa miguu na walinzi wake wachache tuu.

Kingine ni pale walinzi wake waliposhindwa kuondoka airport siku ya alihamisi baada ya kunywa pombe nyingi na kulewa sana jambo lililomfanya rubani kukataa kuondoa ndege kwa kusema kuwa hawezi kwenda na watu ambao wanatoleana pistol kwenye ndege.

Yapo mengi ,na kubwa zaidi ni pale kwenye hotuba yake aliposema kuwa Museveni hana haja ya kuwa na vipindi vya urais kwani anatakiwa kuwa rais wa maisha wa Uganda.

Plagiarism ni Crime na unaweza kushtakiwa kama si kufungwa!!
 
Back
Top Bottom