Walimu wakosa mishahara tena!

Feberia

JF-Expert Member
Aug 5, 2013
542
219
Walimu tena wa wilaya ya Mafia wamekosa mishahara yao ya August 2013 kwa baadhi yao ambao awali hawakuingiziwa mwezi July 2013 kwa kosa la kuchelewa kazini na hatimaye kuwalipa dirishani kwa utaratibu waliojipangia wao baada ya kuwasema moja moja na sasa wamewanyima mishahara tena na walimu hao wamesotea tena kweli hii BIG RESULT NOW itakuwa ndoto kwa uongozi huu.

Sababu za msingi wa kufanya hivi wala haujulikani maana walimu wapo kazini labda wawe na jingine na ukizingatia mishahara yenyewe imechelewa na tangazo la "piga wanaokaidi" lilitaka kila halmashauri kuwalipa watumishi wake tarehe 22 ya kila mwezi.
 
Ni walimu wote wa mafya au baadhi yao???km ni baadhi basi hao watakua na matatizo ya kitumishi!!!kwann wenzao wapate?
 
Baadhi yao tu ambao mwezi uliopita walichukulia dirishani basi mwezi huu. Katika Paylo wapo tatizo mkurugenzi ndio anajua sasa wanataka kumuona waziri wa utumishi wa umma

 
Baadhi yao tu ambao mwezi uliopita walichukulia dirishani basi mwezi huu. Katika Paylo wapo tatizo mkurugenzi ndio anajua sasa wanataka kumuona waziri wa utumishi wa umma


lazima kutakua na sababu tu hapo!!!mbona wenzao wamepata na hawakulipwa dirishan?
 
Upate div.4 alafu utusumbue!Tunashughulikia wa div.1 na 2 kwanza.
 
Nyie mliopata div.4 na kukimbilia ualimu msiisumbue sirikali bwana!
 
hii kitu watu wa halmashauri wanachezea bongo ya watu,nasema hivyo kwa sababu nilikua nachingwea walimu wapo kazin lakini pesa ya mwez wa 5 hawajali pwa wakidai wanaambi wa wakipata payslip zao ndo wanaweza kuandika barua ya madai ,kwa msaada nikapiga simu takukur u head office dar waka nambia niripoti office ya nach shauri langu mwez wa 8 katikati afisa elimu sec kahamishwa kimyakimya dodoma
 
Poleni sana sasa,,sasa nyie mkikosa darasani hamji kusema hapa kama mnatega vipindi ,matokeo ya mnayoyafanya yakifanyiwa kazi ndio mnakuja hapa kutafuta matusi ya kwenda kuwatukana waaajili wenu nyie wajibikeni freshi muone kama hamtathaminiwa na kusifiwa,sasa mnataka nini sasa .nyie mnaonekana hapa tu kwenye suala la mishahara lkn kuhusu wanafunzi kufeli mbona walimu mnakula kona na huwa hamlizungumziii kabisa? acheni maneno pigeni kazi nyie .hakuna anayeweza kukuheshimu kama bila yeye huwezi kuishi ,hayo ndio maisha halisi kote duniani.be care you're self fight you're guys,the world have changed too.
 
Back
Top Bottom