Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
mara baada ya kutoka kwa matokeo ya mtihani ya kidato cha nne mwaka 2012 yanayoonyesha kufeli kwa wanafunzi zaidi ya 60% waalimu wamekuwa wakisambaziana meseji za kupongezana na kuhimizana kuendelea na msimamo wao wa mgomo baridi.hili limejidhihirisha hata katika kipindi cha kipima joto itv.hebu tuulizane jamani huu ni uzalendo?