KANCHI
JF-Expert Member
- Sep 3, 2011
- 1,533
- 230
- Thread starter
- #21
hivi inakuwaje kwa mwalimu aliyeomba akiwa na Degree na akapigwa chini?kuna vigezo gani vya watu kupangiwa zaidi ya kuwa na cheti kizuri!
M2 wangu hawa wote waliopangwa ni fresh from vyuo so za kwenu bado subiria nadhani mpaka mwishoni mwa february.