Leo usiku wanaanika hadharani, kesho asubuhi wanaoenda Nanjilinji watakuwa washaona majina yao. In a few momment.
Yea, ni kweli, jumla ya ajira 23,150. Lakini, wameshatenga fedha za kutosha kwa ajili ya walimu wapya? wasije kuwapeleka watoto wa watu maeneo wasiko na ndugu karibu halafu wakalazimika kuanza kufuatilia malipo yao huku wakikopaAisee KUMBE kweli mvumilivu hula mbivu!! yametoka leo www.moe.go.tz