Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
- Thread starter
- #21
Mkuu CS,
Hawezi kusikika kwa sababu ukiwa Mbunge wa Afrika Mashariki hutumikii wananchi moja kwa moja. Yani hujihusishi na Local Politics matokeo yake ndio amekufa kisiasa. Ndiyo maana Dk Harisson Mwakyembe alitoka kule akaja kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri.
TUMBIRI (PhD In Progess at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Overall Best Student in Form Six National Exams),
tumbiri@jamiiforums.com
Nsio maana naona akina ShyRose ni kama hawako tena, hahahaha, hakufai huko bana.