Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
Babu Asprin na Kabakabana mmeamkaje?
Swali kwa Babu asubuhi yote hii umemuacha Bibi Kitandani unafanya nini JF..
Na wewe Kabakabana huna usingizi?
Mie Koplo wa Geshi lazima boot lifungwe..ndo mkono uende kinywani.
Naona mnahakiki matokeo bila chenga
hehehe usingizi?? mimi niko kariakoo teari na tenga langu la nyanya nipeleke kibandani kwangu.