Wale wa Tanga, pita humu uweke sign yako

vampire_hunter007

JF-Expert Member
Jul 25, 2015
1,034
2,571
Habari wakuu,

Tangu nirudi Tanzania toka nchi za nje nimekuwa na mzuka sana wa kukutana na washkaji wa kitamboo niweze kuwapa maujuzi ya nje ya Tanzania...

Sasa wale wooote wa tanga, maeneo ya Bombo, Raskazone, Nguvumali, Kwaminchi, Barabara za namba, Usagara, Makororaa, Sahare, Mabovu, Mikanjuni, Magomeni, Duga, na kwingineko tukutane hapa....

Masela wote wa waliosoma mkwakwani na kupiga sana stori mdimuni pale...Wale waliochezea fimbo za Kimea na Msagati, karibuni

Wale wa usagara waliokuwa wataalamu wa kutoboa nyavu...Waliochezea fimbo za Mkwizu msogee hapa....

Na wale wa shule za kata kama Old Tanga, Mikanjuni,ect

Wale watoto mambo safi wa Popatlal, Arafa, Alkheri,ect je hapa.............

Wazee wa tangamano kila jumanne na alkhamisi mkujee hapa..........

Wazee wa keram, zumna,ect nawaita hapa..........

Wazee wa beach ya waswahili, beach ya wahindi na wale akina sisi tuliokuwa na beach yetu kule Deep Sea mnakaribishwa............

Hebu kama umewahi kuishi Tanga tuelezee chimbo lako lilikuwa ni lipi na kama bado upo Tanga au umeshakuwa mwanaume wa Dar......


Karibuni.........
 
tanga technical secondary school...makorora kwanjeka utawapenda,those times aisee hazirudi nyuma
 
Ngoja nivizie mademu wa Kitanga kwenye huu uzi!! Mi napendaga mapishi yao bhana... wallah na - subscribe huu uzi ili nipitie one name after another!
 
Mwalim kimea discpline, msagati..mwalim hemedi..madam akyoo..mr hamad..nk mkuu wa shule mkwakwani sec school mr. Mussa baada ya mama kuhamishiwa old Tanga..
Daraja la mbao la mkwakwani pale ndo chimbo la kutorokea

Baiskel zote chini ya mwembe nyuma ya kiwanja cha basketball mpk saa 8..ukitaka utoroke inabidi usije na baiskel tu..asubuhi kimea anakupiga 4 za kuchelewa namba, mchana anatoa test ya math chini ya 40 unapigwa nyingine..

Kuna mwalim omar, mwalim mlindoko na mwalim nyanzwa wanaisogeza geography km kawaida.

Cc: mkwakwani sec school
 
...haiwezekani uzi unyongee hivi!
......badilisheni story mlete za khanga moko kibao kata/msambwanda...kila mtu atajifanya #TangaLine!
 
aah umenigusa mulemule,mi hua najumuika na wazee wa ngamiani pale majira ya jioni tukipasha misuli na alkasuus kwajili ya mechi za kiwanja cha fundi seremela.ama nikiona vipi naenda zangu pweza kijiweni hana raha kwa madeni.ama kwa hakika tanga rahaaaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom