Wale wa shule za mfagio na kidumu cha maji soma hii

EROPLANE

Eroplane ni chombo cha ajabu inafanana na ndege Pia huruka angani. Inakwenda mbio kuliko gari.......
 
kweli kabisa sijui kama wanajua habari za
Juma na roza
manenge na mandawa
kibanga ampiga mkoloni
siku ya gulio katerero
na lile shairi maarufu la karudi baba mmoja.....!!!

aaah, enzi hizo, wenyewe hatujui Google wala Wikipedia!!!

bila kusahau sikiri mimi maskini uvivu wangu nyumbani
 
nani atamfunga paka kengele? karudi baba mmoja toka safari ya mbari.......jongoooo mvua na juasikuelewi...........ila hadithi ya la la laaaaaa niliimeza mwanzo mwisho hadi ninayo kichwani, mkitaka nawashushia sasa hivi
 
Aaah, Sadiki na Sikiri, Kitalolo umenikumbusha hii niliisahau , "sadiki sasa ashiba chakula kingi kwa baba....."

unamkumbuka jogoo na pazi. (sikumbiku jina vizuri kama alikuwa pazi )yule aliyeadhibiwa kwa kumshika kuku kichwa chini miguu juu?? duh story kama hizi enzi zile watu tulikuwa tunafundishwa kuwa wakarimu mpaka kwa wanyama
 
Sasa kaka km ndo vitabu nilivyovisoma shuleni kwetu niandike nini? Sisis shuleni kwetu tumesoma current issues zaidi, bt sorry km una interest kwenye hizo Sura za kitabu vhangu cha primary.

nahisi kama umenipachika jinsia isiyo yangu vile

kuna kitabu cha mandojo na domokaya?can i get the copy please
 
kwa wale tuliosoma zile shule zetu maneno haya si mapya
1.Hawafu mwenye nguvu
2.Moto na maji
3.Juma na uledi
4.Siku ya gulio
5.Pamela na kipini
6. kuku na yai
7.jogoo wa ajabu
Nimekukumbusha mbali

'I wrote a letter to my darling, but she didnt answer me,
(i don't know why she didn't)*2;
who is knocking at the door, darling is knocking at the door,
sister is knocking at the door i know!!!!!!!

Hiyo tulikuwa tunajifunza kuukariri darasa la tatu, wakati huo hata darling hatujui nn, kuja kushtuka ni baada ya kuingia form 1!!!!!!!
Duuuhhhhhh
 
kweli kabisa sijui kama wanajua habari za
Juma na roza
manenge na mandawa
kibanga ampiga mkoloni
siku ya gulio katerero
na lile shairi maarufu la karudi baba mmoja.....!!!

aaah, enzi hizo, wenyewe hatujui Google wala Wikipedia!!!
Swadakta mkuu. Wewe ndiyo nilikuwa nakusubiri. Khabari za saa hizi mkubwa mwenzangu!!!!
 
Mama na mwana,hivi hiki kipindi bado kipo?nakumbuka hadithi ya akajesembamba,adili na nduguze.
 
Back
Top Bottom